Upinzani Tanzania umenunuliwa rasmi

Upinzani Tanzania umenunuliwa rasmi

Yule bwana alijua chadema ndio inammyima pumziki mbona amekata kamba
 
Kama yule Mfanyabiashara ya utumwa alishindwa kuinunua CHADEMA kwa fedha za mikopo, hakuna atakayeweza. Samia ana mapungufu yake tena mengi lakini kwa hili anafanya lililomshinda yule mwenye Roho ya kutu.
Hahaha one day mtazijua rangi zake zote .........
 
Ishu ya covid 19 ni michezo ya serikali, ccm na Mbowe thus KILA siku Mbowe akosi ikulu. Covid-19 wataendelea kukaa bungeni kutafuna kodi zetu kwa kupitia danadana ya kesi hadi October 2025 uchaguzi ujao,Ili kuwahadaa wafadhili wasikate mirija ya juice. Maana wao ndio wanufaika wa mirija ya mabeberu, sisi wa chini ushiriki wetu ni kwenye kulipa madeni
 
Watanzania shida zikiwachosha wakaamka usingizini haya ni mambo madogo bila kuamka hata kianzishwe chama gani hamna kitakachofanyika .
 
Afadhari mama kulipo jpm ambaye aliumaliza upinzani kwa kutangaza ambao hawajashinda. Chadema walishibda majimbo takribani 40 lakini wakurugenzi wakalazimishwa kutowatangaza hata jpm gakushinda.

Afadhari mama nchi imekuwa huru Kama kwamba tumetoka kwenye ukoloni qa mateso, kupotezwa na wasiojulikana, kuumizwa, kunyongwa na kuharibu buchumi ha kulazimisha watu eti ni uchumi wa Kati.

Naamini chadema watazoa viti vingi 2025. Siasa siyo uadui Kama alivyotaka kuwaaminisha watu jpm kwamba chadema ni maadui wanatumwa na mabeberu.

Jpm alaaniwe na ateketee kabisa
Kwa jpm kutokushinda nakupinga 100% ila kwa wabunge hao 40 naweza kukuunga mkono 95%. JPM had sasa wakiweka picha yake igombee na maza inapita kwa zaidi ya 70% 😁😁😁
 
Bora chadema kijifie kabisa, mbowe ungana na mama mchape kazi. Tundu lisu na wewe njoo kwa mama upige kazi, mama hana ubaya na wewe. Huyo mwingine lema arudi kwao afanye mambo yake.
 
Haujanunuliwa ila ni ile kwanini tugombanie fito wakati ujenzi ni kuijenga Tanzania, maridhiano na Katiba ni mambo ya msingi kwa sasa.
 
Hilo Sio Tatizo tunajua wanalamba asali ndio màana tunakomaa na beti Mbili HIZI;-



"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!

"Samiah jiuzulu Sasa nchi imeshakushinda, ulambaji asali umekuponza"!
 
Back
Top Bottom