Upinzani tafuteni majadiliano na CCM, wanaogopa madudu waliyoyafanya upinzani ukiwa madarakani yataanikwa wazi

Ni kweli alifanya yote hayo lakini alichimbua makaburi na wakuwashughulikia (kinyama) watangulizi wake. Kulindana kukaisha. Si advocate mtu afanye kwa style hiyo lakini kuna muda nawaza tu je kulindana kutaisha lini?
Kulindana ndiyo kunafanya wastaafu wakae kimya katika haya yanayoendelea.
 
Wanaomchukia magufuli pia ni wale waliozowea short cut to successful.

Waliozowa kuishi DARESALAAM kiujanja ujanja,.
Wajasilasiasa na wengineo kama wewe.

Wengi tusiompenda ni wale tusikubaliana na viongozi madhalimu.
 
Huku juu ulitiririka viziri ila huku chini ndo sijaelewa
 
Wanaompimga Rais Magufuli Ni mafisadi na wauza madawa ya kulevya na wenye vyeti feki

Sisi Watanzania tunampenda Magufuli nyie wachache mnajiangaisha
Siku mirija ulaji ya shemeji ikikatwa ndo akili zitarudi ungekuwa unajitegemea ungejua hali halisi
 
Kwa mara nyingine wale wanaoitwa mabeberu wanatupigania watanzania kuzuia wizi. Magufuli ni mwizi na mshamba.

WanaCCM Waliotulazimishia rada walijiita wazalendo, wakatupiga, wakagawana matunda na bado wanafurahia.

WanaCCM Walionunua ndege ya rais, walijiita wazalendo, wakatupiga na bado wanakula raha za wizi.

WanaCCM Wakaja na EPA, wakajitambulisha watetezi wa wanyonge, wakapiga pesa ndefu, na wamejistaafia kwa amani na wanaendelea kujichana.

WanaCCM haohao, wakaja na mambo ya vivuko, kupitia kwa Magufuli, wakaiba pesa zote, wakaleta screpa. Wakaikabidhi jeshi na haijulikani inaogelea ziwa au bahari ipi huko jeshini.

Leo haohao CCM kwa kivuli cha propaganda za uzalendo wa Magufuli, wanaiba mchana kweupe kwa manunizi yasiyokaguliwa.

Miradi yote inalazimishiwa kuingia mikataba na mtu mmoja anayejiita kichaa jiwe.

Bila kuitoa CCM madarakani, ni vilio mpaka Yesu atakaporudi kukata hukumu ya mwisho kwa kizazi hiki.
 
Magufuli allies ni zamu yao ya mavuno kwenye shamba la bibi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…