Kwa mara nyingine wale wanaoitwa mabeberu wanatupigania watanzania kuzuia wizi. Magufuli ni mwizi na mshamba.
WanaCCM Waliotulazimishia rada walijiita wazalendo, wakatupiga, wakagawana matunda na bado wanafurahia.
WanaCCM Walionunua ndege ya rais, walijiita wazalendo, wakatupiga na bado wanakula raha za wizi.
WanaCCM Wakaja na EPA, wakajitambulisha watetezi wa wanyonge, wakapiga pesa ndefu, na wamejistaafia kwa amani na wanaendelea kujichana.
WanaCCM haohao, wakaja na mambo ya vivuko, kupitia kwa Magufuli, wakaiba pesa zote, wakaleta screpa. Wakaikabidhi jeshi na haijulikani inaogelea ziwa au bahari ipi huko jeshini.
Leo haohao CCM kwa kivuli cha propaganda za uzalendo wa Magufuli, wanaiba mchana kweupe kwa manunizi yasiyokaguliwa.
Miradi yote inalazimishiwa kuingia mikataba na mtu mmoja anayejiita kichaa jiwe.
Bila kuitoa CCM madarakani, ni vilio mpaka Yesu atakaporudi kukata hukumu ya mwisho kwa kizazi hiki.