Mmedhamiria kutosusia uchaguzi Mkuu ujao. Sawa, wazo zuri. Lakini mmesahau kuwahamasisha wapiga kura kujiandkisha! Kosa la kwanza.
Achana na hoja ya maridhiano, CCM wanajua wanalolifanya, siyo kuwa hawana akili ya kuona maovu (zuri na baya), yao, wanayaona ila kwa vile wameshika mpini, hawana haja ya maridhiano! Achana na agenda hiyo. Lugha hiyo hawawezi kuisikiliza. Lugha wanayoweza kuisikiliza ni ipi? Hakuna wa kuwasikiliza kwa lolote. Wahimize watu wa CHADEMA ni Msingi wahamasishe watu.
Kosa la pili, mnajua fika , for sure, if not double sure, kuwa yale yale ya uchaguzi wa serikali za mitaa yatatokea uchaguzi ujao, pengine hata zaidi, mmejiandaa vipi na hilo?
Mmenyamaza, kosa la pili.
Achana na hoja ya maridhiano, CCM wanajua wanalolifanya, siyo kuwa hawana akili ya kuona maovu (zuri na baya), yao, wanayaona ila kwa vile wameshika mpini, hawana haja ya maridhiano! Achana na agenda hiyo. Lugha hiyo hawawezi kuisikiliza. Lugha wanayoweza kuisikiliza ni ipi? Hakuna wa kuwasikiliza kwa lolote. Wahimize watu wa CHADEMA ni Msingi wahamasishe watu.
Kosa la pili, mnajua fika , for sure, if not double sure, kuwa yale yale ya uchaguzi wa serikali za mitaa yatatokea uchaguzi ujao, pengine hata zaidi, mmejiandaa vipi na hilo?
Mmenyamaza, kosa la pili.