Konseli Mkuu Andrew
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 740
- 855
Linapokuja suala la siasa za upinzani hapa Afrika huwa niña kigugumuzi kwakweli.Hii inanirudisha mwaka 1992 wakati wa ile tume ya maoni ya wangapi wanataka vyama vingi na wangapi wanataka kuendelea na mfumo wa chama kimoja ambapo kwa mara ya kwanza Tanzania tulianza kuutumia mwaka 1965 baada ya Mwalimu Nyerere kufuta mfumo wa vyama vingi.
Hapa majibu ya ile tume yalikuwa kama ifuatavyo aslimia 80 walitaka kuendelea na mfumo wa chama kimoja wakati asilimia zilizobaki (20) walitaka mfumo wa vyama vingi.Hapa lazima ujiulize ni wakina nani walioanzisha hivyo vyama vingi? na walitoka wapi? na nani aliwapa nguvu ya uanzishaji wa hivyo vyama? Katika haya maswali utagundua ni wazi kabisa walioanzisha vyama vya upinzani nchini Tanzania ni kutoka katika lile kundi la asimilia 80 ambao walitaka mfumo wa chama kimoja na hiki ndo kinapelekea nchi hii kukosa wapinzani wakweli.
Wanasiasa endeleeni tuu kutushika Masikio
Siku tukishtuka Magari ya kubebea Ng'ombe mtapanda wenyewe kwenda kujaza viwanja.
#TatizoSioMfumo
#TatizoNiWatu
Hapa majibu ya ile tume yalikuwa kama ifuatavyo aslimia 80 walitaka kuendelea na mfumo wa chama kimoja wakati asilimia zilizobaki (20) walitaka mfumo wa vyama vingi.Hapa lazima ujiulize ni wakina nani walioanzisha hivyo vyama vingi? na walitoka wapi? na nani aliwapa nguvu ya uanzishaji wa hivyo vyama? Katika haya maswali utagundua ni wazi kabisa walioanzisha vyama vya upinzani nchini Tanzania ni kutoka katika lile kundi la asimilia 80 ambao walitaka mfumo wa chama kimoja na hiki ndo kinapelekea nchi hii kukosa wapinzani wakweli.
Wanasiasa endeleeni tuu kutushika Masikio
Siku tukishtuka Magari ya kubebea Ng'ombe mtapanda wenyewe kwenda kujaza viwanja.
#TatizoSioMfumo
#TatizoNiWatu