kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,550
- 2,381
Toka hapa jf nenda kamsikilize naamini utaokoka siku hiyo hiyo na kuachana na Utupolo ccmMwambie wananchi wanataka kujua amebeba nini kichwani juu ya tz,
Habari ya Magu kutuma watu wampige tukishasikia miaka 3 iliyopita. Sasa ni wakati wa kusikia ana nini juu ya tz,
Habari za Magu ni useless