Ndo matokeo ya kutumia mcheHawana akili hao...wanashindwa kumuiba bibi harusi..wao wanaiba bia
Mwizi ni mwizi, ukielekeza macho kwenye vinywaji ataiba kingine kwakuwa ni mwiko mwizi kutoka mikono mitupuKama kuna mdau atakua na party pale awe macho na wahudumu hasa vinywaji.
hey hey balaaaaa
Hao sio wahudumu ni vibaka suguKuna ukumbi unaitwa Bridge Stone tangibovu ukiwa na harusi pale au sendo off, inabidi kua makini na wahudumu wale sita unaopewa,
Tokea nizaliwe sijawahi kuona wezi wa vinywaji kama pale. Wanapewa oda hawapeleki, kweli mtu anaiba kreti sita za bia.
Hakuna siku niliumia nilichangia harusi pesa ndefu na ndio harusi niliwahi changia pesa ndefu sana maana ilikuwa ya rafiki yangu wa karibu.Kuna ukumbi unaitwa Bridge Stone tangibovu ukiwa na harusi pale au sendo off, inabidi kua makini na wahudumu wale sita unaopewa,
Tokea nizaliwe sijawahi kuona wezi wa vinywaji kama pale. Wanapewa oda hawapeleki, kweli mtu anaiba kreti sita za bia.
Mimi unanirudishia hela yangu, napotoa mchango nawaambia kabisaHakuna siku niliumia nilichangia harusi pesa ndefu na ndio harusi niliwahi changia pesa ndefu sana maana ilikuwa ya rafiki yangu wa karibu.
Nafika kwenye harusi kuna juice na soda tu kwasababu baba bi harusi ni askofu.
Kumbe wanywa ulabu ilikuwa inabidi utoke nje kwenye bar hapo unaonyesha kadi unapiga za kutosha.
Nimekuja kujua mwishoni wakati harusi imeisha roho iliniuma na watu wengi hawakwenda walikuwa hawajui kama mimi.
Sema mimi sio mnywaji kivile ila wana niliokuwa nao ndo nkitaka wanywe maana nilichanga pesa ndefu sana mkuu, 500k maana ilikuwa harusi ya jamaa yangu hakuchangisha pesa, familia ilijichanga na mimi nikatoa kaka mshikaji tu, na wana wengine wa karibu yake. Ila hakutoa kadi za michango.Mimi unanirudishia hela yangu, napotoa mchango nawaambia kabisa
Siku nyingine unakunywa hata konyagi ndogo, inakuondoa uoga unaondoka na bibi harusiSema mimi sio mnywaji kivile ila wana niliokuwa nao ndo nkitaka wanywe maana nilichanga pesa ndefu sana mkuu, 500k maana ilikuwa harudi ya jamaa yangu hakuchangisha pesa, familia ilijichanga na mimi nikatoa kaka mshikaji tu, na wana wengine wa karibu yake. Ila hakutoa kadi za michango.
Mkuu mimi si mnywaji kihivyi na hasa vinywaji vikali kama konyag, whisky, vodka sigusi kabisa.Siku nyingine unakunywa hata konyagi ndogo, inakuondoa uoga unaondoka na bibi harusi
sasa hiyo hali ni hangover, au utajiri, mali, malupulupu na bati, ndo mtaji mkubwa. Haukula vizuri kakaMkuu mimi si mnywaji kihivyi na hasa vinywaji vikali kama konyag, whisky, vodka sigusi kabisa.
Kuna siku nilikunywa john walker black label almost nusu chupa, aisee shughuli niliyopata sitokuja kusahau.
Niliamka naumwa halafu nna njaa ya dunia nz