Upepo wa Membe mtaani usipime

Upepo wa Membe mtaani usipime

Mtu kama huyu unampendaje Mkuu. Wakulima wanalia, wafanyabiashara wanalia wafanyakazi wanalia, graduates wanalia


Dah sijawahi ona mtu hampendi Jiwe kama wewe mkuu
 
Watanzania siyo wasahaulifu

1. Wamelia sana vyuma kukaza
2.Wakalia sana uonevu wa nyumba uliofanyika mbezi-Kimara huku wale wa mwanza wakaambiwa nyinyi msivunjiwe
3.Wakalia sana sheria ya bodi ya mikopo ya 15%
4.Leo hadi taulo za wanawake zinakatwa kodi
5. Wana Kagera wakaambiwa "Wanataka hela sababu ya tetemeko kwani serikali ndiyo iliyoleta tetemeko"
6.Watanzania wamenyang'anywa Bunge LIVE leo imegeuka MTU live
7. Watanzania wanakumbuka vizuri kuwa nyongeza za mishahara ya wafanyakazi zilizopo kwa mujibu wa sheria hazipo
8.Watanzania wana kumbukumbu nzuri ya manunuzi ya wanasiasa na kuwatia gharama kurudia chaguzi
9. Wakulima wa korosho wana kumbukumbu nzuri sana walichotendwa
10. Wa mikoa ya kaskazini hawawezi kusahau kauli waliyoambiwa kuwa miaka yote ilikuwa wao tu wangoje na wengine wafaidi
11. Vijana wanaomaliza vyo vikuu utawaambia nini, mwaka wa nne huu ajira za manati
12. Watanzania wapenda ustaarabu wanaona jinsi Wanasiasa akina Lema, Sugu, Mdee, Mbowe, walivyonyanyaswa, kesi zenye dhamana hawapewi dhamana etc
13. Watu wana kumbukumbu nzuri tu ya ripoti za CAG na trilion 2.4 amabzo maelezo yake yamepinda
14. Watanzania Hawajamsahau Ben Saanane, Azory Gwanda, Kanguye na wengine
15. Wana Singida hawatopata Shida kumlilia kijana wao Tundu Lissu, iliwauma, inawauma na itaendelea kuwauma
16. Binti Akwilina aliliza wengi, aliumiza wengi
17. Unafikiri Watanzania wamesahau nyodo za Mwanamfalme wa Dar, Dharau zake, kudekezwa kwake, Wanasubiri tu moto uchanganye wafanye maamuzi ya ghadhabu hapo 2020
18. Asidhani tumesahau Trilion 2.4 hazina maelezo yaliyonyooka zimekwenda wapi
19. WanaYanga wanamkumbuka Manji wao, Wana Simba walimlilia sana Mo kwa wiki mbili
20. Wauza mbaazi hawajasahau old good days
21. Watanzania bado wanakumbukumbu nzuri za Magazeti ya zamani yenye uchambuzi bila hofu, wanasikitishwa na magazeti yaliyojaa uoga leo, kujipendekeza pendekeza, lakini nani aliyetufikisha hapa?
22. Watanzanai watasahau vipi kwa mfano walipokunywa chai bila sukari kwa uhaba wa sukari mwaka 2016?
23. Wazazi wa watoto waliopata ujauzito shuleni waliumia sana kuambiwa kuwa "sisomeshi wazazi"
24. Na wastaafu wanaosumbuliwa nenda rudi, mafao yao hakuna lakini kuna hela zakujenga uwanja wa ndege Chato huzuni yao haipimiki
25. Unafikiri wamachinga wanapenda kulimwa 20000 ya vitambulisho, tena kwa tozo ambayo haijaidhinishwa na bunge?
26. Vipi wale waliotumbuliwa majukwaani kinyume cha taratibu za utumishi,“ jamani nitumbue nisitumbueeee?, tumbuaaaaa”,
27. vipi wafanyabiashara waliobambikiwa kodi?, kilio cha machozi yao hakiwezi kukaushwa na kikao kimoja mbele ya TV Live, vipi familia zao ziliteseka namna gani, ziliumia kiasi gani, vipi mtaji wao?
28. Vipi kuhusu Trilion 425, Vipi waliotajwa kwenye ripoti ya Makinikia kuwa ndo waliotufikisha hapa, ameshakamatwa nani?, kesi zao ziko mahakama gani?, hatua gani zimeshachukuliwa dhidi yao?, Hizo Trilion 425 tunazipata lini?
29.Eti 5000 za kung'arishia viatu?,Madereva wameumizwa sana, wametozwa nyingi, wamepigwa tochi sana, hawajasahau hii
30. Na wavuvi waliochomewa nyavu, walionyang'anywa nyavu, nani atawarudishia mitaji yao?, nani alisikia hisia zao?


Kwa hakika
1. Mikoa ya Kusini atapata tabu sana
2.Mikoa ya kaskazini ndiyo kabisaaa
3. Mkoa wa Singida kwa brother Lissu ndo asahau kabisa
4. Dar es salaam ya waelewa wanahitaji mtu jasiri tu wa kusema nam'goa
5. Mbeya ndo asahau
6. Kule kwa Ruyagwa Zitto huko ni waelewa sana
7. Kagera huko bora asahau bado kumbukumbu ya Tetemeko ingali hai
8. Kule Zanzibar kwa BRAZA Maalim asahau moja kwa moja

Atabaki na Mwanza na Nyanda za juu Kaskazini, na shinyanga na Geita, kwenda Katavi, Dodoma na Kidogo Pwani

Membe akichukua fomu patachimbika!
 
Kaamua kupambana na bugirichato mpaka kieleweke. Itakuwa patashika nguo kuchanika ila nahofia huu mwezi kama utaisha kabla hajafutiwa uanachama na kufukuzwa ccm.

Je, hili likitokea wanaomuunga mkono BCM ndani ya ccm wataamua kupambana na bugirichato na kundi lake la wahuni na vikaragosi vyake?

🍿 🍿

JASUSI MBOMBEZI BENARD MEMBE
 
Kaamua kupambana na bugirichato mpaka kieleweke. Itakuwa patashika nguo kuchanika ila nahofia huu mwezi kama utaisha kabla hajafutiwa uanachama na kufukuzwa ccm.

Je, hili likitokea wanaomuunga mkono BCM ndani ya ccm wataamua kupambana na bugirichato na kundi lake la wahuni na vikaragosi vyake?

CCM imejaa manafiki mno.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Watanzania siyo wasahaulifu

1. Wamelia sana vyuma kukaza
2.Wakalia sana uonevu wa nyumba uliofanyika mbezi-Kimara huku wale wa mwanza wakaambiwa nyinyi msivunjiwe
3.Wakalia sana sheria ya bodi ya mikopo ya 15%
4.Leo hadi taulo za wanawake zinakatwa kodi
5. Wana Kagera wakaambiwa "Wanataka hela sababu ya tetemeko kwani serikali ndiyo iliyoleta tetemeko"
6.Watanzania wamenyang'anywa Bunge LIVE leo imegeuka IKULU live
7. Watanzania wanakumbuka vizuri kuwa nyongeza za mishahara ya wafanyakazi zilizopo kwa mujibu wa sheria hazipo
8.Watanzania wana kumbukumbu nzuri ya manunuzi ya wanasiasa na kuwatia gharama kurudia chaguzi
9. Wakulima wa korosho wana kumbukumbu nzuri sana walichotendwa
10. Wa mikoa ya kaskazini hawawezi kusahau kauli waliyoambiwa kuwa miaka yote ilikuwa wao tu wangoje na wengine wafaidi
11. Vijana wanaomaliza vyo vikuu utawaambia nini, mwaka wa nne huu ajira za manati
12. Watanzania wapenda ustaarabu wanaona jinsi Wanasiasa akina Lema, Sugu, Mdee, Mbowe, walivyonyanyaswa, kesi zenye dhamana hawapewi dhamana etc
13. Watu wana kumbukumbu nzuri tu ya ripoti za CAG na trilion 2.4 amabzo maelezo yake yamepinda
14. Watanzania Hawajamsahau Ben Saanane, Azory Gwanda, Kanguye na wengine
15. Wana Singida hawatopata Shida kumlilia kijana wao Tundu Lissu, iliwauma, inawauma na itaendelea kuwauma
16. Binti Akwilina aliliza wengi, aliumiza wengi
17. Unafikiri Watanzania wamesahau nyodo za Mwanamfalme wa Dar, Dharau zake, kudekezwa kwake, Wanasubiri tu moto uchanganye wafanye maamuzi ya ghadhabu hapo 2020
18. Asidhani tumesahau Trilion 2.4 hazina maelezo yaliyonyooka zimekwenda wapi
19. WanaYanga wanamkumbuka Maji wao, Wana Simba walimlilia sana Mo kwa wiki mbili
20. Wauza mbaazi hawajasahau old good days
21. Watanzania bado wanakumbukumbu nzuri za Magazeti ya zamani yenye uchambuzi bila hofu, wanasikitishwa na magazeti yaliyojaa uoga leo
22. Watanzanai watasahau vipi kwa mfano walipokunywa chai bila sukari kwa uhaba wa sukari mwaka 2016?
23. Wazazi wa watoto waliopata ujauzito shuleni waliumia sana kuambiwa kuwa "sisomeshi wazazi"
24. Na wastaafu wanaosumbuliwa nenda rudi, mafao yao hakuna lakini kuna hela zakujenga uwanja wa ndege Chato huzuni yao haipimiki
25. Unafikiri wamachinga wanapenda kulimwa 20000 ya vitambulisho, tena kwa tozo ambayo haijaidhinishwa na bunge?


Kwa hakika
1. Mikoa ya Kusini atapata tabu sana
2.Mikoa ya kaskazini ndiyo kabisaaa
3. Mkoa wa Singida kwa brother Lissu ndo asahau kabisa
4. Dar es salaam ya waelewa wanahitaji mtu jasiri tu wa kusema nam'goa
5. Mbeya ndo asahau
6. Kule kwa Ruyagwa Zitto huko ni waelewa sana
7. Kagera huko bora asahau bado kumbukumbu ya Tetemeko ingali hai

Atabaki na Mwanza na Nyanda za juu Kaskazini, na shinyanga na Geita, kwenda Katavi, Dodoma na Kidogo Pwani

Membe akichukua fomu patachimbika!
CCM Kanda ya ziwa lazima wataunda chama chao kipya hivi karibuni
 
Hawa wanarukaruka tu ila mwakani atakayepeperusha bendera ya CCM si mwingibe bali ni John PJ Magufuli (PhD). Bahati nzuri/mbaya hata hao akina Membe wanalijua hili vizuri sana. Wana CCM ni wanafiki kupita maelezo (Musiba was spot one for once..). Utashanga haohao akina Membe, January, Nape, Mwigulu, Makamba etc wapo ndani ya kampeni team.

Siasa waachieni wana siasa na nendeni mkafanye yenu kwa manufaa yenu na familia zenu.
kweli aisee!
 
Tusijidanganye, membe hawezi na hana sifa. Magufili atarudi vizuri, ila ni lazima anadilika na ashushe hii mizigo aliyoibeba.
 
Hakuna siri tena,kwenye kile chama kuna kundi kubwa limeibuka likimtaka mh Membe kusimama 2020

Na kwa utafiti mfupi uliofanyika lakini sio rasmi unaonyesha kuwa Membe anakubalika zaidi na wanaccm wengi na wasio wanachama wa ccm

Eitha ,imeonyesha kuwa endapo Membe atasimama 2020 upinzani utakuwa na nguvu chache tofauti akisimama mzee mwenye nyumba ambapo upinzani unaweza ukawa na nguvu kuliko hata kipindi cha Lowasa na mabadiliko

Mikoa inayomuunga Membe kwa asilimia 100 ni Mtwara,Lindi,Ruvuma,Njombe,Iringa,Mbeya,Kigoma,Kagera,Mwanza jiji,Mara,Arusha,Kilimanjaro, Tanga,Pwani,Dar,Singida na mikoa yote ya Zanzibar

Mikoa inayomuunga Mzee mwenyewe wa chama ni Dodoma,Geita,wilaya za Mwanza(nje ya jiji),Simiyu, Katavi na Tabora

Mikoa ambayo wanagawana nusu kwa nusu ni Rukwa,Morogoro,Manyara na Shinyanga

PUMBAVU NA MUFILISI.MEMBE HATA AKISIMAMISHWA NA PAKA ,PAKA ANACHUKUA.WABWIYA UNGA/CHADEMA WANAJIONA WAMESHAPATA HIKI NA KILE LAKINI KILEVI KIKIISHA KICHWANI WANASHANGAA WANAJIKUTA BADO WAPO TANZANIA.
 
Back
Top Bottom