- Thread starter
- #21
Unakose sehemu moja tu. Rangi za Chama cha mapindizu Ccm in mbili kijani, na njano. Bendera yake ni moja tu yenye alama za jembe na nyundo. Ukiona wanatofautiana, ni aina ya mishono tu. Kwa hiyo ujue, hakuna cha Making Tanzania Great Again wala Ccm fisadi. Wote ni wale wale na usidanganyike wala kujifariji.Njoo tz kuna haya madude yanayoitwa MATAGA wakati wa uchaguzi yanashangilia kama yamekatika vichwa uongozi wa chama chao ukisha shika nchi wanajikuta nao wanalalamikia ugumu wa maisha az if ni misukule, tazama namna mwenda zake alivyo uponda mradi wa BANDARI YA BAGAMOYO walishangilia mpaka basi cha ajabu mama samia ameamua kuu huisha mradi madude yaleyale yaitwayo MATAGA yanashangilia utadhani machizi sasa hapa ndo ule usemi kwamba ukisha kuwa m/kiti ccm unapata wasaa wa kuondoa bongo za MATAGA