Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,915
- 30,027
Mimi naogopa jamani, hata siwezi kulala na hii hali radi, vimulimuli bora mvua muda huu Tabata Segerea imekatika.
Tanesco washafanya yao.
Njoo Sinza tulale wote!!
Mimi naogopa jamani, hata siwezi kulala na hii hali radi, vimulimuli bora mvua muda huu Tabata Segerea imekatika.
Tanesco washafanya yao.
Mimi naogopa jamani, hata siwezi kulala na hii hali radi, vimulimuli bora mvua muda huu Tabata Segerea imekatika.
Tanesco washafanya yao.
Wa Sinza tupeni taarifa. kinyesi kilishatapakaa. Wa Manthesay nanyi hapo kwa mfuga mbuzi vipi. Kimara shwari ila foleni ndi usipime. ambao hutumia njia za paka leo wote wako njia kuu. madaraja ya kichina yote sijui Kibangu sijui Goba kote hamna kitu.
Mimi naogopa jamani, hata siwezi kulala na hii hali radi, vimulimuli bora mvua muda huu Tabata Segerea imekatika.
Tanesco washafanya yao.