Upepo Mkali Kinondoni

Upepo Mkali Kinondoni

Mimi naogopa jamani, hata siwezi kulala na hii hali radi, vimulimuli bora mvua muda huu Tabata Segerea imekatika.
Tanesco washafanya yao.

pole sana mdada yani kwakweli uliyoyaandika nahakika yametoka moyoni kabisa'ila pole mungu ni mkuu na amini atakulinda!ukiamka salama wasalimie kwa mfojo nimepamis sana!
 
Nipo apa Kinondoni Morocco maji yamejaa yameingia hadi ndani. Mvua ni kubwa mno. Maji hadi chumbani, haijawahi kutokea ivi apa kwetu
 
Wa Sinza tupeni taarifa. kinyesi kilishatapakaa. Wa Manthesay nanyi hapo kwa mfuga mbuzi vipi. Kimara shwari ila foleni ndi usipime. ambao hutumia njia za paka leo wote wako njia kuu. madaraja ya kichina yote sijui Kibangu sijui Goba kote hamna kitu.
 
Wa Sinza tupeni taarifa. kinyesi kilishatapakaa. Wa Manthesay nanyi hapo kwa mfuga mbuzi vipi. Kimara shwari ila foleni ndi usipime. ambao hutumia njia za paka leo wote wako njia kuu. madaraja ya kichina yote sijui Kibangu sijui Goba kote hamna kitu.

Thithiemu oyeeeee tudumishe umoja wetu na watu wa china.
 
Back
Top Bottom