Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Utumbo mtupu! ndio umeandika nini sasa? unai aibisha JF
Huyu jamaa wakati anasoma plae IFM hakuwai kuwa kiongozi,alikuwa msongo wakupenda kusoma kwa mashindano,alikuwa ni anti social kabisa,na shangaa sana siasa kaijulia wapi,labda ukubwani au...maana wanasiasa wazuri huwa waanzia mashule,ila ndio kashapotea tena arudi kwa Msasila akafundishe masomo ya jioni......ila kwake kama kijana ni msikitiko sana ndani ya mwaka mmoja kama full minister kachemsha vibaya mmno....
Utumbo mtupu! ndio umeandika nini sasa? unai aibisha JF
Utumbo mtupu! ndio umeandika nini sasa? unai aibisha JF
Eddie mkono wa mjinga kama huu wa kwako huandika popote pale..............haitoshi kusema ni utumbo mtupu bila ya kuonyesha sababu ya kwanini umeona hivyo........kwa wewe ambaye umo humu ndani ya JF kuanzia 2008 na huna michango yoyote ile....inapendeza kama ukiendelea kuufyata tu kama ulivyokuwa umejizoeleza.........uko kama vile haupo.............though living but you are a dead man walking............
Mbona ameandika nyama! Usi "generalize" kuwa ameaibisha JF.Utumbo mtupu! ndio umeandika nini sasa? unai aibisha JF
We kilaza nyamaza kimya, naona tangu 2008 hujafanya lolote la maana, wakati mwingine bora kuufyata kuliko kutapika pumba kama ulizotoa hapa
Mkono wa **** kama wewe ndio unaandika utumbo huo hapo juu? kama mabandiko mengi ni "mchango" then no wonder unajaza utumbo tu humu.
Eddie hebu fafanua ni kwa nini unaona hizo khoja za kweli zilizotolewa bungeni na jana na zipo kwenye vyombo vya khabari hazifai kuandikwa humu JF?
Acha kuponda mawazo ya mwenzio, utumbo gani alioandika? yote aliyosema ni kweli! au hufuatilii matukio na taarifa mbali mbali? Kwani siku ana jitetea bungeni akitaja jina la Mungu hukumuona wala kumsikia? Aliye andika namsifu sababu ana kumbu kumbu nzuri. UTUMBO NI WEWE MNAO JAZA JF KWA MAWAZO MGANDO NA UWEZO FINYU WA KUFIKIRI KABLA HAMJA CHANGIA THREAD ZA WATU.
Ndio nini?
Kama kichwani ni sifuri learn to learn in silence......................usijitutumue bahari hii siyo kwa vijidagaa kama wewe
Yale yale! full utumbo
Kama kichwani ni sifuri learn to learn in silence......................usijitutumue bahari hii siyo kwa vijidagaa kama wewe
Yale yale! full utumbo