Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 6,132
- 10,514
Hivi sasa unaambiwa kuwa polisi wanatembelea nyumba kwa nyumba kuwajulia hali wananchi.
Pichani: Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Lupakisyo Mwakyusa ametembelea familia ya Mzee Mabile Nunda na Bi. Chambi Licholi wa Kijiji cha Bilulumo, kwa lengo la kuwajulia hali na kusikiliza kwa makini changamoto wanazokabiliana nazo, ikiwa ni pamoja na changamoto za usalama na maisha ya kila siku.
Pichani: Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Lupakisyo Mwakyusa ametembelea familia ya Mzee Mabile Nunda na Bi. Chambi Licholi wa Kijiji cha Bilulumo, kwa lengo la kuwajulia hali na kusikiliza kwa makini changamoto wanazokabiliana nazo, ikiwa ni pamoja na changamoto za usalama na maisha ya kila siku.