East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,205
Mjumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA kupitia BAWACHA Bi UPENDO PENEZA akihojiwa katika kipindi cha STAR TV cha vijana na siasa tarehe 17/11/2014 kasema kuwa TAJIRI SABODO alitoa mamilioni ya hela kwa Ajili ya ujenzi wa Chuo cha siasa cha CHADEMA.
Swali langu ni je CHADEMA ujenzi wa hicho chuo hicho umefikia wapi? Na kiko eneo lipi? Wilaya gani na mkoa gani? Walau kiwanja mmeshanunua au mmekula hela za mzee wa watu? Nitashukuru sana nikipata majibu.
Nitashukuru sana endapo nitapewa hilo jibu
Wenu mtiifu EAST AFRICAN EAGLE
Swali langu ni je CHADEMA ujenzi wa hicho chuo hicho umefikia wapi? Na kiko eneo lipi? Wilaya gani na mkoa gani? Walau kiwanja mmeshanunua au mmekula hela za mzee wa watu? Nitashukuru sana nikipata majibu.
Nitashukuru sana endapo nitapewa hilo jibu
Wenu mtiifu EAST AFRICAN EAGLE