Dr Emma John
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 820
- 194
Ni kitu gani ambacho Peneza hana? Umewahi kumsoma Nziga aliyepata kutawala Ndogo na Matamba ambayo ni Angola ya leo? Ni mwanamke pekee ukanda wa Afrika aliyepigana na Mreno na kuiweka nchi yake huru.
Kuna Nzinga mwingine kazaliwa CHADEMA anaitwa Upendo na zifuatazo ni sifa zake:-
-Ni mgombea pekee wa kike kuwahi kujitokeza kuwania nafasi ya juu kabisa ya baraza la vijana CHADEMA na vyama vingine.
-Ni binti pekee au kijana pekee kwenye chama kushiriki operation zote za chama akiwa na umri mdogo wa 21 years kwa kutumia gharama zake mwenyewe kutoka kwa wazazi na wafadhili wengine mf.operation Sangara,M4C,OPD,na kushiriki karibu chaguzi ndogo zote.
-Maono yake juu ya baraza hili ni ya ki "mapinduzi zaidi"zaidi kwa maana ya kutaka kuli modernise zaidi.
-Ni msomi wa mambo ya jamii (bachelor)
Kama ilivyokuwa kwa Nzinga,upendo kakatishwa tamaa mara kadhaa,wengi kwa kuamini ukivaa suruali tuu wewe ni shujaa na kwamba ilimradi una sketi wewe huwezi.
Hii ni hazina kubwa kwa chama na taifa
Kuna Nzinga mwingine kazaliwa CHADEMA anaitwa Upendo na zifuatazo ni sifa zake:-
-Ni mgombea pekee wa kike kuwahi kujitokeza kuwania nafasi ya juu kabisa ya baraza la vijana CHADEMA na vyama vingine.
-Ni binti pekee au kijana pekee kwenye chama kushiriki operation zote za chama akiwa na umri mdogo wa 21 years kwa kutumia gharama zake mwenyewe kutoka kwa wazazi na wafadhili wengine mf.operation Sangara,M4C,OPD,na kushiriki karibu chaguzi ndogo zote.
-Maono yake juu ya baraza hili ni ya ki "mapinduzi zaidi"zaidi kwa maana ya kutaka kuli modernise zaidi.
-Ni msomi wa mambo ya jamii (bachelor)
Kama ilivyokuwa kwa Nzinga,upendo kakatishwa tamaa mara kadhaa,wengi kwa kuamini ukivaa suruali tuu wewe ni shujaa na kwamba ilimradi una sketi wewe huwezi.
Hii ni hazina kubwa kwa chama na taifa