Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,385
Huwa mkikaa kimya mnakuwa kama vile kuna kitu kinatekenya mwilini.
Unazungumzia umaskini wa nchi kana kwamba umeumbiwa umasikini mpaka siku yako ya kufa!!.
Jitahada zote za kuanzisha na kufufua viwanda lengo lake ni kuondokana na hiyo label ya umasikini.
Mahubiri yote misikitini na makanisani yana lengo la kumpa mtu kiburi cha kuanza kutafuta maisha yaliyo bora zaidi.
Tanzania sio masikini labda tatizo ni sisi wenyewe vichwani mwetu. Kumbuka kuwa hao wanasiasa wa upinzani ambao wewe pengine ni mmojawapo, walikuwa tayari mpaka kutengeneza mifumo ya kimafia kwenye mitandao ili kuihujumu tume ya uchaguzi.
Sijui unaweza vipi kuwahakikishia wanaokusoma kwamba hao waliotumia mabilioni ya fedha wangekuwa na uthubutu wa kutopokea mishahara na marupurupu mengine ya urais.
Phillipo mbona ni kama umehama mada ya nsingi kuhusu mshahara? Nilitaraji ungezungumzia kuhusu huo mshahara. Hiyo dhana ya umasikini mbona ipo tu hata tika tulipokuwa na viwanda. Mbona hata hao viongozi wameepukana na umasikini walipopata madaraka? Huoni wakikosa hayo madaraka wanarudi kwenye umasikini?