Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,554
- 9,531
Je unayohubiriwa na kuyasoma katika maisha yako ndiyo unayatenda na kuyafata? badili njia zako leo safisha njia zako leo watendee mema wote wanaokukera na kukuudhi usiwatendee mabaya usijitese na mambo yapitayo hao ni wanadam wanapita tu muwe na jioni njema