Upendeleo nssf

Status
Not open for further replies.

Jamani sio wakristo wote ni wakatoliki kwa hiyo usi ihusishe VATICAN kama huna uhakika huyo unae msema ni mkatoliki! Tuheshimiane kama mwanzo Jama! Upuuzi aliouandika huyo na research yake anayojua mwenyewe dili nae peke yake!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 


Samahani mkuu kwa kukukwaza na neno vatican, si kusudio langu kuwakashifu wakatoliki nimeichukulia vatican kama nchi yenye watu wa dini moja tu na si vinginevyo. Samahani sana mkuu!!
 

hili suala inawezekana ni kweli, bcoz ni ya NNE watu wanakuja kulalamika hapa JF kuhusu Udini wa NSSF
 
hata misikiti yenyewe hamuwezi kujenga hadi ajitokeze gadaf awasaidie.nguvukazi yenu imeishia kujidunga madawa na ndo laana mtakazopata siku si nyingi mtachinjana wenyewe.chezea bangi na heroin
Kuna aina ya kivita huitwa Drug Warfare; hivi ni vita ambavyo adui yako anakuingiza katika utumiaji madawa ya kulevya kimakusudi kwa njia mbalimbali kama vile kufumbia jicho uingiaji wa madawa katika maeneo yenu.

Akishakuingiza katika utumiaji wa madawa ina maana kuwa tayari amekufanya wewe huna faida yoyote kwa jamii yako na ni mzigo vilevile kwa jamii, kwisha khabari yako!.

Jamii ya waislamu Tanzania tunahitaji vijana wafanye kazi ili kulisha familia zao kitendo ambacho kitatupunguzia idadi ya masikini ndani ya waislamu, wawe na uwezo wa kutoa sadaka ili zitusaidie kuzitumia kwa shughuli mbalimbali za kimaendeleo, kuwasitiri watoto wa kike waliojazana majumbani kwa njia ya ndoa...sasa kama wameingizwa katika uteja vitu hivi vyote tutavikosa katika jamii na zaidi itakuwa wantuongezea mzigo.

Tatizo hili la vijana kuingia katika madawa ya kulevya lipo na ningependa kuona wataalamu wa Kiislamu wa ki-Tanzania (wao ndio wanaoijua vizuri jamii) wakilifanyia utafiti wa kina suala hili kutupatia majibu stahiki na suluhisho.
 

wewe kweli ---- kwani leo ndo umejuwa waislamu nchi hii wamenyanyaswa vya kutosha?????basi na waislamu wajitoe kwenye mashirika yanayoongoza kwa kuajri wakristo tu any way its too late waislam sasa wamezinduka na ss kazi kwenu
 

Kajipange upya halafu urudi, huna hoja, we umeogopa ushungi tu!
 
Mleta maada ni mdini namba moja, watu wa aina ya huyu mleta mada ni maadui wakuu wa amani ya tanzania. Kwa kawaida hijabu tano hung'ara kuliko vimini miambili. Kofia moja ya ustazi huonekana kuliko suti na vichwa wazi elfu. Tuache tabia hzi kama za mleta mada, tuweni wamoja. Kwa ujumla mleta mada ana chuki binafsi na ana wivu dhidi ya uislamu
 

Hao wanaopiga domo wanachangia!!!! ile ni kwamba hawa wanamsalaba wakishift inakufa...watendaji wanaweza kuwa hao unaosema lakini customers still the big boss here...Sie waislam tuna bonga sana lakini mambo yako waziii tuu
 


mkuu ulitaka ukaribishwe na nini..???! vi min skirt mapaja njenje.... nywele za kubandika ! msalaba ukutani.. na computer kwa mbali ikipiga sebene la yesu!.....

hebu ficha upumbavu wako basi ..
 
Inamaana ulikuwa hujui Nssf ni ya Wajahidina.
 
hata na wewe kuhimiza wakristo kujitoa ni udini pia! Kama wao walivyohimizana kuwekana huko!
Maana yake unachomaanisha ni kuwa wakristo na sisi tutafute shirika letu sio?? Tutakuwa na tofauti gani na wao?

husistaajabu tu ya nssf staajabu pia ya udsm, mwl nyerere university, tbs, tasaf, tfda, tanesco, nhc,cbe, tigo, airtel, shirika la elimu kbh na mengne ww hujaenda kudai mafao ww ni mfanyakzi wa nssf husitake kuwaona watu hawana akili unatoa maelezo ya kuzunguka sasa hivi kila mtu yupo macho pu...fu we
 
Hata na wewe kuhimiza wakristo kujitoa ni Udini pia! Kama wao walivyohimizana kuwekana huko!
Maana yake unachomaanisha ni kuwa wakristo na sisi tutafute shirika letu sio?? Tutakuwa na tofauti gani na wao?

Kwahiyo mkuu ungeshauri nini kifanyike hapa?
 
ni kweli nasikia hako kamkurugenzi ni kadini sana. Kuna jamaa zangu kibao wakristu wameacha kazi hapo na kutafuta kazi sehemu nyingine hii na manyanyaso ambayo walikuwa wakiyapata eti kwa sababu wao si waislam

Nikumbushe mkurugenzi mwenyewe anaitwa nani tena?
 

Usawa utapatikana lini angali elimu ya wenzetu hawa ndo ivo wachache ndo wamesoma?
 

Kuna mpango wa kuichukua na TRA, MAANA PALE PANA UKASKAZINI NA ugalatia !
 

ambrosi upo? kumbe hata mahabusu unapata network, tangu uwe ndani makanisa yanapumua. askofu wetu anataman utoke uje ulipue na hapa kwetu.
 
Ina maana Kwani Parokiani kwenu mliambiwa Mwisho ofisi moja waislam wanatakiwa wawe wangapi? Uliishia kutazamq Hijab zao ukasahau kujiuliza kama wanazo sifa au la? Tukikuuliza utupe Idadi ya vimini unaweza kutusaidia, siku nyingine tambua Haki yako na ya hao wenye Hijabu ni sawa, kama kuhoji uhoji kama utakuta Hijabu hizo zipo Miradi ya kanisa sio miradi ya Umma, Acheni Roho mbaya mbona waislam wakifika Maofisin hawahesabu Misalaba wala vimini wala kufatilia wangapi wanatumia computer za ofisi kuimbia kwaya wala bajet za Serikali kupamba sikukuu za kidini, mnajifanya kutangaza upendo kumbe roho zenu zina sugu za Chuki!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…