maggy mushy
Member
- Nov 23, 2010
- 18
- 1
dah ila jamaa kiboko
Ana kila dalili za kushinda....
Asipochukua jimbo mimi naingia msituni!Ana kila dalili za kushinda....
Haina tofauti na ahadi za kugeuza kigoma kuwa dubai! Wamefanana ila tofaut ni audience tu!
Wanzuki kibao huko mkuu.Kwani kuna walevi wengi huko??