updates za UDOM

MAUBIG

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
1,038
854
Kwa taarifa niliyoipata kutoka kwa chanzo cha kuaminika ni kwamba kuna kilaza na pimbi mmoja UDOM anauzia watu zile nafasi za kazi kwa wenye uhitaji kwa TZS 500,000/= mpaka sasa kashashika watu kama sita hivi. nchi hii ishauzwa ndugu zangu tusio na wa kutushika mkono tuanze kufanya mipango ya kujiajiri. TAKUKURU PLEASE FANYENI KAZI YENU


Naomba kuwasilisha wadau
 
dah hivi hapa kuna ukweli wowote ndugu zanguni???kama upo basi ngoja nitangulie kijijin kilimo kwanza mna huu mji ushanisha mie nilikuwa nategemea hako kaa post hapo lakini kwa hili ......
 
Mbona bei ndogo hizo?huyo kweli kilaza njaa tu inamsumbua
anyway mungu yupo pamoja na wote
 
hivi mpaka leo wanasubiri kitu gani kuita watu kwenye usaili? bora waweke wazi watakaofanya usaili ili watu tuwe huru kuliko kukaa na mzigo wa matumaini ya kitu kisichokuwepo
 
hivi mpaka leo wanasubiri kitu gani kuita watu kwenye usaili? bora waweke wazi watakaofanya usaili ili watu tuwe huru kuliko kukaa na mzigo wa matumaini ya kitu kisichokuwepo

karibu jamvini mkuu
 
Kwa taarifa niliyoipata kutoka kwa chanzo cha kuaminika ni kwamba kuna kilaza na pimbi mmoja UDOM anauzia watu zile nafasi za kazi kwa wenye uhitaji kwa TZS 500,000/= mpaka sasa kashashika watu kama sita hivi. nchi hii ishauzwa ndugu zangu tusio na wa kutushika mkono tuanze kufanya mipango ya kujiajiri. TAKUKURU PLEASE FANYENI KAZI YENU


Naomba kuwasilisha wadau

Sidhani kama hicho ulichoambiwa ni sahihi maana hauna uwezo wa kuthibitisha hilo jambo.
Acheni kuwakatisha watu tamaa!
 
Kwa taarifa niliyoipata kutoka kwa chanzo cha kuaminika ni kwamba kuna kilaza na pimbi mmoja UDOM anauzia watu zile nafasi za kazi kwa wenye uhitaji kwa TZS 500,000/= mpaka sasa kashashika watu kama sita hivi. nchi hii ishauzwa ndugu zangu tusio na wa kutushika mkono tuanze kufanya mipango ya kujiajiri. TAKUKURU PLEASE FANYENI KAZI YENU



Naomba kuwasilisha wadau
TAFADHALI SANA NAOMBA MNAPO TOA TAARIFA HUMU NDANI ZIWE NI ZA UHAKIKA NA KAMA KUNA UWEZEKANO TOA CHANZO. MIMI NIPO UDOM, UTAWALA, MCHAKATO WA KUAJIRI UNANDELEA KAMA KAWAIDA, NA KILA IDARA IKO NA WATU WAKE, NA ZAIDI YA HAPO MAJINA YANAPITISHWA KWA WATU WA UTUMISHI, SASA KAMA WEWE UMEAMBIWA UTOE 500000 TSH, UNADANGANYWA, MAANA HII KAZI HAIFANYWI NA MTU MMOJA.

UKWELI NI KWAMBA APPLICANTS NI WENGI NA WENGI HAWANA VIGEZO, NI PAMOJA NA KUWA NA VYETI BATILI.
ANDIKENI UKWELI.:shock:
 
TAFADHALI SANA NAOMBA MNAPO TOA TAARIFA HUMU NDANI ZIWE NI ZA UHAKIKA NA KAMA KUNA UWEZEKANO TOA CHANZO. MIMI NIPO UDOM, UTAWALA, MCHAKATO WA KUAJIRI UNANDELEA KAMA KAWAIDA, NA KILA IDARA IKO NA WATU WAKE, NA ZAIDI YA HAPO MAJINA YANAPITISHWA KWA WATU WA UTUMISHI, SASA KAMA WEWE UMEAMBIWA UTOE 500000 TSH, UNADANGANYWA, MAANA HII KAZI HAIFANYWI NA MTU MMOJA.

UKWELI NI KWAMBA APPLICANTS NI WENGI NA WENGI HAWANA VIGEZO, NI PAMOJA NA KUWA NA VYETI BATILI.
ANDIKENI UKWELI.:shock:

Asante kwa kukanusha uzushi uliotolewa
kwa msaada tuu twaomba utuambie majina kwa ajili ya interview yatatoka lini.
 
Kwa taarifa niliyoipata kutoka kwa chanzo cha kuaminika ni kwamba kuna kilaza na pimbi mmoja UDOM anauzia watu zile nafasi za kazi kwa wenye uhitaji kwa TZS 500,000/= mpaka sasa kashashika watu kama sita hivi. nchi hii ishauzwa ndugu zangu tusio na wa kutushika mkono tuanze kufanya mipango ya kujiajiri. TAKUKURU PLEASE FANYENI KAZI YENU


Naomba kuwasilisha wadau
Weka mtego na takukuru tumitie adabu huyu pimbi otherwise tutakuona muongo na mnafiki
 
Asante kwa kukanusha uzushi uliotolewa
kwa msaada tuu twaomba utuambie majina kwa ajili ya interview yatatoka lini.

Very soon, na inategemea kila school kwa Academicians na kwa administrators pia inategemea kitengo, ila nikuhakikishie kwamba mambo ya ku-shortlist yameisha, so anytime likiisha zoezi la kupokea wanafunzi wa mwaka wa kwanza na wanaendelea, mambo yatakuwa sawa, kama ulikuwa na vigezo, kaa mkao wa kula.
 
TAFADHALI SANA NAOMBA MNAPO TOA TAARIFA HUMU NDANI ZIWE NI ZA UHAKIKA NA KAMA KUNA UWEZEKANO TOA CHANZO. MIMI NIPO UDOM, UTAWALA, MCHAKATO WA KUAJIRI UNANDELEA KAMA KAWAIDA, NA KILA IDARA IKO NA WATU WAKE, NA ZAIDI YA HAPO MAJINA YANAPITISHWA KWA WATU WA UTUMISHI, SASA KAMA WEWE UMEAMBIWA UTOE 500000 TSH, UNADANGANYWA, MAANA HII KAZI HAIFANYWI NA MTU MMOJA.

UKWELI NI KWAMBA APPLICANTS NI WENGI NA WENGI HAWANA VIGEZO, NI PAMOJA NA KUWA NA VYETI BATILI.
ANDIKENI UKWELI.:shock:


Ukistaajabu ya MUSA utayaona ya Firauni, yawezekana wewe ni junior staff wa UDOM na bado hujui system ilivyo, taarifa niliyoitoa ni sahihi kwa asilimia 100, mwaka jana hadi watu wa idara ya fedha walikuwa wanaomba rushwa ili na kwa majina nawafahamu, mie sio mgeni ya UDOM HUYU ALIYEOMBWA LAKI TANO NIMEMALIZA NAYE CHUO PALE PALE UDOM.
 
asante kwa kukanusha uzushi uliotolewa
kwa msaada tuu twaomba utuambie majina kwa ajili ya interview yatatoka lini.

ndo shida ya watu wa jukwaa hili kila watakaloambiwa wanafikiria ni uzushi,
 
rushwa kwenye ajira imeshanza kuota mizizi, yote haya ni sababu kubwa la tatizo la ajira na njaa kali za wafanyakazi.
 
Very soon, na inategemea kila school kwa Academicians na kwa administrators pia inategemea kitengo, ila nikuhakikishie kwamba mambo ya ku-shortlist yameisha, so anytime likiisha zoezi la kupokea wanafunzi wa mwaka wa kwanza na wanaendelea, mambo yatakuwa sawa, kama ulikuwa na vigezo, kaa mkao wa kula.

wewe inaonyesha unahongeka!..
 
Ukistaajabu ya MUSA utayaona ya Firauni, yawezekana wewe ni junior staff wa UDOM na bado hujui system ilivyo, taarifa niliyoitoa ni sahihi kwa asilimia 100, mwaka jana hadi watu wa idara ya fedha walikuwa wanaomba rushwa ili na kwa majina nawafahamu, mie sio mgeni ya UDOM HUYU ALIYEOMBWA LAKI TANO NIMEMALIZA NAYE CHUO PALE PALE UDOM.

wewe kwa hofu uliyonayo hata ukiitwa kwenye usaili uta panick na utafeli vibaya! ...jiamini umekaa kilawamalawama kama mtoto wa k.ke!
 
ndo shida ya watu wa jukwaa hili kila watakaloambiwa wanafikiria ni uzushi,

Mtu ana haki na uhuru wa kuamini kivyake sioni shida kuamini kama uliotoa ni uzushi ilkhali haujathibitisha taarifa yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom