MAUBIG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,038
- 854
Kwa taarifa niliyoipata kutoka kwa chanzo cha kuaminika ni kwamba kuna kilaza na pimbi mmoja UDOM anauzia watu zile nafasi za kazi kwa wenye uhitaji kwa TZS 500,000/= mpaka sasa kashashika watu kama sita hivi. nchi hii ishauzwa ndugu zangu tusio na wa kutushika mkono tuanze kufanya mipango ya kujiajiri. TAKUKURU PLEASE FANYENI KAZI YENU
Naomba kuwasilisha wadau
Naomba kuwasilisha wadau