Updates za Msanii zimeishia wapi?

Updates za Msanii zimeishia wapi?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,077
Reaction score
136,503
Baada ya yule aliyejitambulisha kama ‘kapteni’ wa JWTZ kuja na ile video yake, kuna watu humu walikuwa na kila aina za taarifa.

Mmoja kati hao watu alikuwa ni mwanaJF mkongwe kwa jina la Msanii.

Mwenzetu huyu alileta hapa hizi mada mbili:



I almost immediately called BS on it.

Nilijua tu katika hali na mazingira kama yale, kungekuwepo na kila aina ya uzushi.

Sasa siku kadhaa zishapita na hakuna habari wala taarifa zozote zile za matokeo ya huo mkutano wa kamati kuu iliyokutana usiku.

Hakuna hata picha ya ndege na helikopta zilizotumika kuwapeleka hao wajumbe kwenye huo mkutano 🤣.

Pia, hakuna habari zozote zile kuhusu hao wastaafu wa JWTZ walioitwa kuja kuongeza nguvu.

Just as I said from the get go, the whole thing was a nothing burger.

Haya leteni matusi na mashambulizi yenu.
 
Tesha captain alisema atarud soon akirud anarud kwa vitendo ye sio mtu wa nywinywi nywi wala nywanywa nywa we endelea tu kusikilizia milio tega sikio
 
Baada ya yule aliyejitambulisha kama ‘kapteni’ wa JWTZ kuja na ile video yake, kuna watu humu walikuwa na kila aina za taarifa.

Mmoja kati hao watu alikuwa ni mwanaJF mkongwe kwa jina la Msanii.

Mwenzetu huyu alileta hapa hizi mada mbili:



I almost immediately called BS on it.

Nilijua tu katika hali na mazingira kama yale, kungekuwepo na kila aina ya uzushi.

Sasa siku kadhaa zishapita na hakuna habari wala taarifa zozote zile za matokeo ya huo mkutano wa kamati kuu iliyokutana usiku.

Hakuna hata picha ya ndege na helikopta zilizotumika kuwapeleka hao wajumbe kwenye huo mkutano 🤣.

Pia, hakuna habari zozote zile kuhusu hao wastaafu wa JWTZ walioitwa kuja kuongeza nguvu.

Just as I said from the get go, the whole thing was a nothing burger.

Haya leteni matusi na mashambulizi yenu.
Kwani kuandika yote hayo wewe unataka ingekuwaje, over- expectations!

Mie naona kaamsha sana watu hasa wale waliokuwa hawako na msimamo. Tumenua kumbe mambo ni fragile kuliko tulivyofikiri.

I don’t have any expectations for now, but I am satisfied of what had happened.

Kila kitu kina consequences zake, atakufa lakini he played his part.
 
Baada ya yule aliyejitambulisha kama ‘kapteni’ wa JWTZ kuja na ile video yake, kuna watu humu walikuwa na kila aina za taarifa.

Mmoja kati hao watu alikuwa ni mwanaJF mkongwe kwa jina la Msanii.

Mwenzetu huyu alileta hapa hizi mada mbili:



I almost immediately called BS on it.

Nilijua tu katika hali na mazingira kama yale, kungekuwepo na kila aina ya uzushi.

Sasa siku kadhaa zishapita na hakuna habari wala taarifa zozote zile za matokeo ya huo mkutano wa kamati kuu iliyokutana usiku.

Hakuna hata picha ya ndege na helikopta zilizotumika kuwapeleka hao wajumbe kwenye huo mkutano 🤣.

Pia, hakuna habari zozote zile kuhusu hao wastaafu wa JWTZ walioitwa kuja kuongeza nguvu.

Just as I said from the get go, the whole thing was a nothing burger.

Haya leteni matusi na mashambulizi yenu.
Kwamba unafurahia na unaona aliyoyasema Captain Tesha was totally Useless?

Kwanini unakosa subra na kuwa mwepesi sana kubeza? Unanufaika vipi na hao watesi?
 
Unataka updates za nini sasa! Nilitegemea labda utakana kama siyo mwanajeshi halali mwenye hicho cheo, kiasi cha kufikia hatua ya kumuita "msanii"! Kumbe na wewe unaleta porojo tu.

Kwangu mimi, Captain Tesha ni shujaa! Kwa kitendo chake cha kijasiri cha kuongea hadharani maovu yanayofanywa na watawala, ni ushujaa wa hali ya juu sana. Kwa sababu wananchi wengi wamepata uelewa juu ya watu wanao watawala.
 
Back
Top Bottom