Updates za Corona Tanzania

Mkuu ile TD 360 yako ukiichoka niuzie mimi, hivi ni namba C au D?
 
Mtanisamehe nina la kuwahoji mnaosema Mungu anatulinda!
Mi naona kama hamna akili mnaosema hivyo!!
Kwani nyinyi mnalindwa ila waliopo china hawalindwi!!! Okay Hivyo Mungu wenu ni mbaguzi Kuna mahali analinda watu Kuna mahali anawaacha wafe!!!

Hivi Afrika kuwaza huwa mnatumia Nini..?
Hata Kama hakuna korona haimaanishi hakuna matatizo mengine mbona yapo mengi tu! Na wengine wanaona Bora kufa kuliko kuliko kuishi!!

Acheni upuuzi huyo MUNGU hana la kufanya juu ya matatizo yetu,moja Kati ya kosa ni kumtegemea Mungu akutatulie matatizo wakati vitabu vyake vimeandikwa Mungu ndo muumba wa kila kitu means na matatizo kayaleta yeye tupambaneni wenyewe hakuna kitakacho kutetea usife isipokuwa sisi wenyewe na kufa ni lazima isipokuwa ni muda tu
 
Jana BBC walitangaza kuwa ndege ya Shirika la Ethiopian airlines ilobeba abiria raia wa Italy waloenda kutalii Zanzibar, waliporejea kwao walipimwa na wamegundulika wana virusi vya corona...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
All natural resources will be at their disposal. Excluding Africa, there is a huge market for their products. Kwanini sisis tunanunua kitu cha maana unadhani?
Mitumba wataitupa wapi? Au unataka watengeneze dampo sayari ya mars?

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…