Updates: Yanayojiri CC ya CCM

Nilidhani wataazimia tamko la majina ya wanufaika wa escrow kupitia Stanbic yawekwe hadharani na wahusika wachukiliwe hatua za haraka.


 

Richmond--Richard Monduli
 
Jinsi ccm isivyo na maamuzi hata serikali ipo hivyo hivyo,wamejua neno kuchunguza basi tabu tupu
 
Mbinu na harakati za E.N.Lowasa kusaka nafasi ya kugombea uraisi kwa tiketi ya CCM zimewapiku kwa mbali sana wapinzani wake ndani na nje ya chama.
~~Kama kuna mtu ndani ya CCM haamini..basi mwacheni Lowasa ashindane kwa hak ndan ya sanduku la Kura mujionee maajabu...atashinda mpaka kura za mahasimu wake.
 
Habari ya kifo cha komba itavuruga ratiba za ccm lazima.kwa sasa wanapanga nani ataziba pengo na mida uliobaki ni miezi Kama mitano Tu kampeni zianze.hili ni pigo kubwa sana kwa ccm.

Muumini mwinyijuma a.k.a mtoto yatima atachukuwa nafasi yake, kwani sasa yuko kwenye mawe.
 

Kuwa mzalendo wewe. Acha kuropoka ovyo. Eti watakaofaidika ni UKAWA, kwamba unatarajia CCM wakiweka Bogus kama Lowasa itapita?

Haijalishi hapa. Suala ni Mtu mwenye Utu na Uzalendo. Sio Mwizi na Fisadi kama Lowasa. Hata kama UKAWA itachukua nchi, well and good! Coz Watanzania ndio watakaokuwa wamempa kura Mgombea wanayemtaka.

Vyama ni zaid ya Nchi. Be serious plz! 12STONE
 
Last edited by a moderator:

tangu lini vyama vimekuwa zaidi ya Nchi? acha maneno ya kukaririshwa na wegine weye,wizi na ufisadi wa lowassa ni upi?

waweza orodhesha ni shs ngapi lowassa aliiba???

mie ninachojua ndani ya ccm baadhi ya wezi ndio wanaogopa sana lowassa akiwa Rais maslahi yao ya kiwiziwizi yatakoma so,wanajitahidi kila hali kudhibiti lakii kiukweli kwao sasa jambo hilo WAMECHELEWA SANA.

Am serious men!!!
 

SORRY; "Chama si zaid ya Nchi". That's what i meant.

Wizi wa Lowasa uko njenje sana. Very popular na hata mtoto mdogo anaweza akakuwekea list. Unless wewe ni mtoto mchanga hujii kinachoendelea.

Eti ni wezi wa CCM ndo wanamhofia, kweli umepotea sana! Kwa "CHENGE" swakhiba mkubwa wa Lowasa naye sio mwizi?

Don't try to fool people!
 

Rekebisha tarehe kuweka kumbukumbu sawa ni tarehe 28/02/2015
 

asante kukubali kosa,

tuwe wa kweli wajemeni hivi swahiba wako akishikwa wizi mtapelekwa lupako naye???

chenge ni chenge lowassa ni lowassa WATENDEWE HAKI NA PIA WAHUKUMIWE KWA HAKI.
AKOSEE KIKWETE ADHABU ABEBE LOWASSA???

Hakuna ushahidi wa wizi na Ufisadi wa Eddo lakini wengine tuna ushahidi mmoja kakwapua escrow billions 70 na mwenzake kaondoka na furushi la billions 8.

hao wanafahamika.

wizi wa nje nje ndio upi huo?
 
Nawaombea sana wapate nguvu na roho ya kumfukuza Rowassa
 



Mkuu; kuna uchafu mwingi Lowasa kawafanyia Watanzania.
Katu, hatuwezi kusamehe kwani anaendelea kutunyonya na kutuibia.

Jitahidi kufuatilia threads mbalimbali humu ndani na kwingineko. Utayapata mengi sana juu ya Uhuni na Ufisadi wa Lowasa ktk Taifa hili.
 

Attachments

  • 1425163985138.jpg
    61.3 KB · Views: 129
  • 1425164214939.jpg
    60.7 KB · Views: 130


Kwahiyo Membe ndiye anafaa?

Acheni unafiki kima nyie CCM hakuna msafi hata mmoja hivyo usilete porojo na kilio cha wivu kama mke mwenza...

Nyie ni manafiki tu mnaopika fitina kutetea matumbo yenu yaliyokosa pose ila nakwambia ktk koroma zote zilizoko CCM aheri Lowassa anaweza leta ladha kwenye mchuzi sio hao wapuuzi wenzenu...

CC Pasco

MUSSA ALLAN
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…