bora mkuu and thanks 4 updates maana before the game jamaa walikuwa wanachonga sana(wanacheza mpira wa mdomon) lakin mida la gem la uwanjani wote wamepotea
bora mkuu and thanks 4 updates maana before the game jamaa walikuwa wanachonga sana(wanacheza mpira wa mdomon) lakin mida la gem la uwanjani wote wamepotea
Yaani mie mwenyewe niko mbali na sina access ya radio, nategemea humu JF lakini wakutoa updates wamelala mbele duh, natamani afungwe mtu ili jamaa waje kwa wingi kutuelezea