Kumbe Yanga akifungwa leo na Kagera sukari na Azam fc akimfunga Ruvu Shooting ligi ndio itakua ishapata bingwa mpya wa 2013/14 ambao ni Azam fc...........................ooooppsnimesahau kumbe bado kuna zile points 3 za mezani zinapangiwa muda muafaka wa hukumu kama ilivyomtokea MWADUI ya Julio................heheheheheh