Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Nimeongea na wachezaji wa kagera wamesema mambumbumbu fc hawachomoki leo.
 
Wanazi wa Simba wameikimbia timu leo.
 
ahaaaaaahaa kila laheli wekundu wa msimbazi lngawa tunatimiza ratiba tunza heshima.
 
mpira hauna pressure sana. Simba walishajikatia tamaa na wameanza kujiandaa kwa msimu ujao. bado ni bila kwa bila
 
mpira hauna pressure sana. Simba walishajikatia tamaa na wameanza kujiandaa kwa msimu ujao. bado ni bila kwa bila dk 37
 
Leo ndio tutahakikisha kama huyu mnyama simba, ni mla nyama au mla chips-mayai!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…