Nakumbuka Yanga iliitwanga 5-1 Ashanti, ikailima 7-0 Komorozine, Ruvu Shooting nao walikula 7-0, leo tena 5-0 kwa Prisons. Ole kwa timu itakayofunga pazia la ligi na Yanga itapigwa zaidi ya 5-0. Mwenye masikio ya kusikilia na asikie.
Nakumbuka Yanga iliitwanga 5-1 Ashanti, ikailima 7-0 Komorozine, Ruvu Shooting nao walikula 7-0, leo tena 5-0 kwa Prisons. Ole kwa timu itakayofunga pazia la ligi na Yanga itapigwa zaidi ya 5-0. Mwenye masikio ya kusikilia na asikie.