NANUKUU POST YANGU HII SIKU YA MECHI YA SIMBA NA ALHLY
Baaada ya kufunga goli 3 katika dakika 66,77,88 nilieleza hii ilikuwa na maana sana kinyota kwa simba mwaka huu kisoka.
NAMBA YA BAHATI (6+6+7+7+8+8=42=4+2=6) KWA SIMBA NI 6 (s-perfect number). Namba hii kwa vile huunda na namba 1,2 na 3 inaashiria kuwa Simba katika mashindano haya itakuwa na uwezo wa kufunga kati ya goli 1, 2, 3 au 6 katika michezo yao yote. Ukifuatilia mechi zao za nyuma ndivyo alivyokuwa. Namba 6 huashiria furaha hivyo kila mechi simba watakayocheza tutegemea furaha kutoka kwao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.