Updates: Nzega Makanda tupe Updates CHADEMA kuwasha moto leo

Updates: Nzega Makanda tupe Updates CHADEMA kuwasha moto leo

shimwemwe

Member
Joined
Aug 7, 2012
Posts
65
Reaction score
2
kwa
taarifa za uhawakika Nzega leo Chadema ndani ya Nzega makanda waanza
kusogea karibu hivyo tupeane habari zinazojiri. nategemea safari ya
kutoka Urambo tayari viwanja vya Parking kama kawaida
 
hapa watu wanazidi kukusanyika, na wazee wenyewe na rungu zao wapo karibu. vijana kwa wingi wanajitokeza picha baadae.
 
yaliyojili ni mazuri na watu walikuwa wengi Mh. Mbowe na Tundu Lisu ndo waliweza kufika viwanja hivi.
 
Back
Top Bottom