Kua mcha Mungu na atakutangulia nchi ishauzwa itakua ajira?
jamani mwenzetu ameoma update kwa aliyekuwa nazo! na si kuandika uchafu humu, kama huna updates kaa kimya, mbona wengi wanafungua uzi kama huu na wakikuta hawana wanachokijua basi wanaendelea na shughuli nyingine, sio siku mtu ukiwa umepata free internet na pc basi ndo lazima u comment kila uzi bana!
Ndio maana nikamshauri oumbe Mungu kwanza coz kazi hizo ni kila kigogo anazitolea macho na bado watoto wa shemeji zao. Its hard to take yet we keep the faith. Hata mimi nimo kwenye mchakato huo ila mingi ilipita kwa stail hii. Written then kimyaaa......
Kabla ya hii ya juzi kuna zilizotangazwa lakini watu wakachukuliwa na kupelekwa mikoani kabla hata ya shortlist, na kuwaweka huko kwa miez kadhaa kisha ndio kua presented kama new Employees...
Say something.
"Kabla ya hii ya juzi kuna zilizotangazwa lakini watu wakachukuliwa na kupelekwa mikoani kabla hata ya shortlist, na kuwaweka huko kwa miez kadhaa kisha ndio kua presented kama new Employees..."
hao ni NHIF au GEPF? duuuh!
Ni NHIF !
duuuh! hii imenisononesha sana, sasa hawa waliowachukuwa ni wa vigogo na watu wao, then bado hizi tulizoenda tena kufanya juzi pia wawapachike wengine daaah! alafu hawa jamaa uwa hawana cha oral interview wala nini. kama ile tuliofanya majuzi ndo imetoka iyo, mtu upate bahati ya kuitwa job tu, nasikia hawa jamaa wanalipa vizuri mno na ndo mana watoto wawajuanao wanaingia sana hapo NHIF,,,,
NSSF je unakumbuka nyomi iliyokua IFM? Mtu kasoma TAX anaenda kufanya ACCOUNTING mimi hoi......
naomba Kama unajua post zingine zilikuwa zinahtaj watu wangapi utumegee kdogoIn God we trust, GEPF post ya IT Systems Administrator tulikua 101 wakati wanataka mtu mmoja lakini naamini wakati wa Bwana ukifika hata tukiwa 15000 wakati nafasi ni moja itakuwa yangu, so sitakata tamaa maana wakati wangu utafika tu hata wachukuane kwa kujuana
Mi ndo maana sikutaka kuja kwenye interview manake nilistuka, we nafasi zipo 15 mnaitwa 3407, si wizi huo,yaani nitoke Bukoba niunguze nauli yng huku nikiwa sina matumaini,hao jamaa ni wa**uzi sana na kwa nn cjui nilituma maombi manake hata hela yng ya bahasha imeliwa bure na wajinga kama hawa wanaoajiriana kwa kujuana huku per4mance ikiwa very low