Updates, NHIF na GEPF interviews

Planner

JF-Expert Member
Apr 5, 2011
348
148
Wadau naomba kujuzwa kwa yeyote mwenye yanayojiri baada ya zile written interview za GEPF na NHIF nafasi za assistant accountant wiki mbili zilizopita .Natanguliza shukrani
 
Kua mcha Mungu na atakutangulia nchi ishauzwa itakua ajira?

jamani mwenzetu ameoma update kwa aliyekuwa nazo! na si kuandika uchafu humu, kama huna updates kaa kimya, mbona wengi wanafungua uzi kama huu na wakikuta hawana wanachokijua basi wanaendelea na shughuli nyingine, sio siku mtu ukiwa umepata free internet na pc basi ndo lazima u comment kila uzi bana!
 
jamani mwenzetu ameoma update kwa aliyekuwa nazo! na si kuandika uchafu humu, kama huna updates kaa kimya, mbona wengi wanafungua uzi kama huu na wakikuta hawana wanachokijua basi wanaendelea na shughuli nyingine, sio siku mtu ukiwa umepata free internet na pc basi ndo lazima u comment kila uzi bana!

Ndio maana nikamshauri oumbe Mungu kwanza coz kazi hizo ni kila kigogo anazitolea macho na bado watoto wa shemeji zao. Its hard to take yet we keep the faith. Hata mimi nimo kwenye mchakato huo ila mingi ilipita kwa stail hii. Written then kimyaaa......

Kabla ya hii ya juzi kuna zilizotangazwa lakini watu wakachukuliwa na kupelekwa mikoani kabla hata ya shortlist, na kuwaweka huko kwa miez kadhaa kisha ndio kua presented kama new Employees...

Say something.
 
Ndio maana nikamshauri oumbe Mungu kwanza coz kazi hizo ni kila kigogo anazitolea macho na bado watoto wa shemeji zao. Its hard to take yet we keep the faith. Hata mimi nimo kwenye mchakato huo ila mingi ilipita kwa stail hii. Written then kimyaaa......

Kabla ya hii ya juzi kuna zilizotangazwa lakini watu wakachukuliwa na kupelekwa mikoani kabla hata ya shortlist, na kuwaweka huko kwa miez kadhaa kisha ndio kua presented kama new Employees...

Say something.

"Kabla ya hii ya juzi kuna zilizotangazwa lakini watu wakachukuliwa na kupelekwa mikoani kabla hata ya shortlist, na kuwaweka huko kwa miez kadhaa kisha ndio kua presented kama new Employees..."

hao ni NHIF au GEPF? duuuh!
 
"Kabla ya hii ya juzi kuna zilizotangazwa lakini watu wakachukuliwa na kupelekwa mikoani kabla hata ya shortlist, na kuwaweka huko kwa miez kadhaa kisha ndio kua presented kama new Employees..."

hao ni NHIF au GEPF? duuuh!

Ni NHIF !
 
Ni NHIF !

duuuh! hii imenisononesha sana, sasa hawa waliowachukuwa ni wa vigogo na watu wao, then bado hizi tulizoenda tena kufanya juzi pia wawapachike wengine daaah! alafu hawa jamaa uwa hawana cha oral interview wala nini. kama ile tuliofanya majuzi ndo imetoka iyo, mtu upate bahati ya kuitwa job tu, nasikia hawa jamaa wanalipa vizuri mno na ndo mana watoto wawajuanao wanaingia sana hapo NHIF,,,,
 
duuuh! hii imenisononesha sana, sasa hawa waliowachukuwa ni wa vigogo na watu wao, then bado hizi tulizoenda tena kufanya juzi pia wawapachike wengine daaah! alafu hawa jamaa uwa hawana cha oral interview wala nini. kama ile tuliofanya majuzi ndo imetoka iyo, mtu upate bahati ya kuitwa job tu, nasikia hawa jamaa wanalipa vizuri mno na ndo mana watoto wawajuanao wanaingia sana hapo NHIF,,,,

NSSF je unakumbuka nyomi iliyokua IFM? Mtu kasoma TAX anaenda kufanya ACCOUNTING mimi hoi......
 
In God we trust, GEPF post ya IT Systems Administrator tulikua 101 wakati wanataka mtu mmoja lakini naamini wakati wa Bwana ukifika hata tukiwa 15000 wakati nafasi ni moja itakuwa yangu, so sitakata tamaa maana wakati wangu utafika tu hata wachukuane kwa kujuana
 
In God we trust, GEPF post ya IT Systems Administrator tulikua 101 wakati wanataka mtu mmoja lakini naamini wakati wa Bwana ukifika hata tukiwa 15000 wakati nafasi ni moja itakuwa yangu, so sitakata tamaa maana wakati wangu utafika tu hata wachukuane kwa kujuana
naomba Kama unajua post zingine zilikuwa zinahtaj watu wangapi utumegee kdogo
 
Mi ndo maana sikutaka kuja kwenye interview manake nilistuka, we nafasi zipo 15 mnaitwa 3407, si wizi huo,yaani nitoke Bukoba niunguze nauli yng huku nikiwa sina matumaini,hao jamaa ni wa**uzi sana na kwa nn cjui nilituma maombi manake hata hela yng ya bahasha imeliwa bure na wajinga kama hawa wanaoajiriana kwa kujuana huku per4mance ikiwa very low
BC2lW+0o59oVjAAAAAElFTkSuQmCC
o8PLzXXVW7ilD8R3+0qeWZKRAAAAAElFTkSuQmCC
gCPmsu9YfDHx9vnP+T+ADXlvtKgUPkpAAAAABJRU5ErkJggg==
gCPmsu9YfDHx9vnP+T+ADXlvtKgUPkpAAAAABJRU5ErkJggg==
BC2lW+0o59oVjAAAAAElFTkSuQmCC
png;base64,iVBORw0KGgoAAAANSUhEUgAAAA8AAAAPCAIAAAC0tAIdAAAAQElEQVQokWNgoATM2PEBGRGrDp8eZFE0RVg04DEYXTVBpSga8PsJu2qCAUUH1fg14AxBYlUzkBSXuPTg8QxhAAAgk79BwRV1vAAAAABJRU5ErkJggg==
WuVBPTmu8CSfvJ1XhrxeVrZ12S20Dt6I33f+A8kvVuv0FUAnPfzC7M+aI+x8RmKAAAAAElFTkSuQmCC
 
yatakiwa kuwa na subira na imani mwenyenzi mungu kila mtu amempangia ridhiki yake imani zenye mashaka huwezi pata ambacho umekusudia .muda ni kila kitu ikifika december haujaitwa basi open onother door kila jambo lina kusudi lake. be positive.
 
Mi ndo maana sikutaka kuja kwenye interview manake nilistuka, we nafasi zipo 15 mnaitwa 3407, si wizi huo,yaani nitoke Bukoba niunguze nauli yng huku nikiwa sina matumaini,hao jamaa ni wa**uzi sana na kwa nn cjui nilituma maombi manake hata hela yng ya bahasha imeliwa bure na wajinga kama hawa wanaoajiriana kwa kujuana huku per4mance ikiwa very low
BC2lW+0o59oVjAAAAAElFTkSuQmCC
o8PLzXXVW7ilD8R3+0qeWZKRAAAAAElFTkSuQmCC
gCPmsu9YfDHx9vnP+T+ADXlvtKgUPkpAAAAABJRU5ErkJggg==
gCPmsu9YfDHx9vnP+T+ADXlvtKgUPkpAAAAABJRU5ErkJggg==
BC2lW+0o59oVjAAAAAElFTkSuQmCC
png;base64,iVBORw0KGgoAAAANSUhEUgAAAA8AAAAPCAIAAAC0tAIdAAAAQElEQVQokWNgoATM2PEBGRGrDp8eZFE0RVg04DEYXTVBpSga8PsJu2qCAUUH1fg14AxBYlUzkBSXuPTg8QxhAAAgk79BwRV1vAAAAABJRU5ErkJggg==
WuVBPTmu8CSfvJ1XhrxeVrZ12S20Dt6I33f+A8kvVuv0FUAnPfzC7M+aI+x8RmKAAAAAElFTkSuQmCC

Usikate tamaa ndugu yangu ipo siku yako wewe amini tu, lakini kama unatokea mbali hivo kuja kwenye written interview ni changamoto sana lakini nakuomba usikate tamaa wakati wako ukifika hata waweke njia nzima misumari wewe utapita kwa kupaa kama Airforce One maana crusing speed yake ni mile 600 per hour
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom