Hapa mbeya hali ya hewa ni nzuri ikiambata na kiubaridi.
Kiukweli mechi hii haina msisimko tofauti na ile ya mbeya city na yanga,.
Mji bado umepoa na simba wakiwa bado wamejificha kusikojulika hata apa sokoine uwanjani kupasha misuli hawapo..
Ila uwanja wa sokoine upo vizuri na bado unapambwa.
Nani ni nani itajulikana kesho
HT= mbeya city1 -simba0
-kipindi cha pili kinaanza
-simba1- mcc1
dk25 mcc1-simba1
-dk32 mcc1-simba1
simba wanapata kona apa wanakosa
-Full time mcc1- simba1
Kiukweli mechi hii haina msisimko tofauti na ile ya mbeya city na yanga,.
Mji bado umepoa na simba wakiwa bado wamejificha kusikojulika hata apa sokoine uwanjani kupasha misuli hawapo..
Ila uwanja wa sokoine upo vizuri na bado unapambwa.
Nani ni nani itajulikana kesho
HT= mbeya city1 -simba0
-kipindi cha pili kinaanza
-simba1- mcc1
dk25 mcc1-simba1
-dk32 mcc1-simba1
simba wanapata kona apa wanakosa
-Full time mcc1- simba1