Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

ndomyana

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2012
Posts
5,724
Reaction score
2,262
Hapa mbeya hali ya hewa ni nzuri ikiambata na kiubaridi.

Kiukweli mechi hii haina msisimko tofauti na ile ya mbeya city na yanga,.

Mji bado umepoa na simba wakiwa bado wamejificha kusikojulika hata apa sokoine uwanjani kupasha misuli hawapo..

Ila uwanja wa sokoine upo vizuri na bado unapambwa.
Nani ni nani itajulikana kesho
DSC_0441.JPG


IMG-20140215-WA0005.jpg

HT= mbeya city1 -simba0

-kipindi cha pili kinaanza

-simba1- mcc1

dk25 mcc1-simba1

-dk32 mcc1-simba1

simba wanapata kona apa wanakosa
-Full time mcc1- simba1
 
Uendelee kutupia updates kwa sisi tuliombali.....Usisahau natuwekea na picha pia mkuu
 
Hapa mbeya hali ya hewa ni nzuri ikiambata na kiubaridi.

Kiukweli mechi hii haina msisimko tofauti na ile ya mbeya city na yanga,.

Mji bado umepoa na simba wakiwa bado wamejificha kusikojulika hata apa sokoine uwanjani kupasha misuli hawapo..

Ila uwanja wa sokoine upo vizuri na bado unapambwa.
Nani ni nani itajulikana kesho

Msisimko utoke wapi kwani hao Yanga. Hata mapato tusitegemee kama ingekuwa Yanga. Ukweli timu zilicheza na Yanga zinanufaika angalau mapato ya mlangoni.
 
Kweli mkuu nipo apa sokoine uwanjani nawasubiria simba waje kupasha hawapo bado, au ndio kwamba bado hawajafika mbeya
Msisimko utoke wapi kwani hao Yanga. Hata mapato tusitegemee kama ingekuwa Yanga. Ukweli timu zilicheza na Yanga zinanufaika angalau mapato ya mlangoni.
 
Mnyama hayupo kapotelea kusiko julikana
 
Hii mechi itakuwa nzuri na ya kusisimua,, tunaomba tff mkoa wa mbeya mtufungulie milango yote ile tabia ya kufungua milango miwili muache tena kesho msipo angalia mtaleta shida fungueni milango yote minne, simba mjiandae tu hapa Mbeya pagumu
 
Mnyama hayupo kapotelea kusiko julikana

Hakuna tetesi , wala fununu walipo simba, yale mapokezi waliyoyazoea hayapo tena Mbeya, harafu na nyie viongozi wa siasa chadema na ccm msituharibie hii timu huu sio wakati wenu wa kurudisha umaarufu kwa kupitia Mbeya city.
 
Mkuu hawaeleweki walipo wengine wanasema eti kesho ndo wanakuja wamefikia zanzibar, afu wanasiasa hii ni fursa kwao adimu kujizolea maujiko
Hakuna tetesi , wala fununu walipo simba, yale mapokezi waliyoyazoea hayapo tena Mbeya, harafu na nyie viongozi wa siasa chadema na ccm msituharibie hii timu huu sio wakati wenu wa kurudisha umaarufu kwa kupitia Mbeya city.
 
Kesho nitakuwepo uwanjani, mvua isiponyesha itakuwa vizuri.
 
Vijana Wa Mjin 3 Vijana Wa Mashambani 2

Tambwe 2
Messi 1

Hao Mbeya City Watajuana Wao Wenyewe Sababu Hawana Mfungaji Maalum
 
Mkuu hawaeleweki walipo wengine wanasema eti kesho ndo wanakuja wamefikia zanzibar, afu wanasiasa hii ni fursa kwao adimu kujizolea maujiko

Kaka. Kama Mbeya palivyo pagumu kisiasa na kimpira ndo hv , naona kama wanasiasa wanaanza kujichomeka kwenye hii timu , wanajifanya yao WATUPISHE
 
Kesho mbeya cty anakaaa goal moja bila, yanga ishambikiri tayar sa hv anakuwa jamvi la wageni
 
Msisimko utoke wapi kwani hao Yanga. Hata mapato tusitegemee kama ingekuwa Yanga. Ukweli timu zilicheza na Yanga zinanufaika angalau mapato ya mlangoni.

Yanga hoyeeeeee!!! Mbeya city lazima tushinde kesho.
 
naipenda simba ila hivi round hii ya pili tumeshinda mechi ya ugenini???
 
Back
Top Bottom