Updates: Mkwawa Water Rally Challenges Iringa

Pukudu

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
3,148
2,219
Jamani kwa yeyote aliyepo Iringa atupe updates: mimi ntaleta picha na matukio kadri ntavyokuwa napata kutoka kwa watu walioko huko!!
Mashindano haya ni magumu kwa kuwa undistiputed champion Gerald Miller "Babu" ategemea kupata ushindani toka kwa Ahmed Huwell mwenye ford Fiesta pronto. .

590c3ce2eb972444f5b0bc53d6d82e50.jpg
ccc24254969ad68170d7797bafd578f3.jpg

6c09725f45a54fdf2b233453ca33c8eb.jpg
65020eb844d7977d4c59ba4aef410b69.jpg
9f299c6ce277bd109523d46cbfcf0861.jpg
145c97e669ce892211d2e4a352508721.jpg
b52ffed358b49391c2e4520813c9cb3c.jpg

08add530c8ca924b486710f9a2ad5f55.jpg

Matokeo ya Rally Day one
941e44e0f8aaca1e58a5710e23565b0c.jpg

Updates za michezo leo
6a8defa0055dfb22535e2992f2ccb988.jpg
 
Ah mashindano ndio yapo hatua za mwisho mwisho, hapa mkwawa ndio yanapo ishia,wanamalizia mkwawa (Ikonongo). mpaka sasa yamefika magari matano na gari la kwanza limefika saa nane
 
Ah mashindano ndio yapo hatua za mwisho mwisho, hapa mkwawa ndio yanapo ishia,wanamalizia mkwawa (Ikonongo). mpaka sasa yamefika magari matano na gari la kwanza limefika saa nane
Kesho ndo mwisho leo kna nani wamemaliza?
 
Mambo yalivyokuwa samola stadium
 

Attachments

  • VID_20170422_135545_s01.mp4
    5.7 MB · Views: 26
Babu ni shida kakimbiza tena! Ila Dhiram Pandya atakuja kuwa shida ... ila hongera kwa STADO Team kurudi Shanto, Huwell na Davis Mosha
Huwel gari imemuangusha naskia ilikata waya gani sijui akapigwa bao.. Ila babu noma aisee..
 
Huwel gari imemuangusha naskia ilikata waya gani sijui akapigwa bao.. Ila babu noma aisee..
Huwell ni dereva mzuri ila itamchkua muda kidogo kuzoea hiyo gari ... ila akiizoea atasumbua sana!!anaweza kuwa hata bingwa wa East Africa.
Babu ni namba nyingine Ile Evo 9 yake hata body inafika nzima. Ni more experienced driver kacheza rally nyingi sana!
 
Randeep Singh sio wa mchezo, hongera ahmed huwel kwa kutuletea hii burudan iringa
 
Mkuu Jambazi mwenyewe yamenipitia juu juu tu, nilisikia ila nilishindwa kuyafatilia.. Ila naona babu kama kawaida kawakalisha vijana wake..
Babu kiboko! Watu wengi walijua Huwell anachkua kuna dogo tulibet 50k ... alikuwa anasema hamna naona Evo 9 ikatembea mbele ya Ford Fiesta pronto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom