Mcubic , Zitto amejitathmini na kuacha siasa za kupania wapinzani , na niliandika hapa ili aeleweke apambane na mfumo unaokandamiza hata mimi nitamkubali ingawa siwezi kuwa mfuasi wake nitasapoti apate majimbo nae aingie bungeni.Ni vizuri akaonesha heshima kwa wapinzani wenzake arrogancy isingalimsaidia .
Kwenu mashabiki wake maneno yenu kwenye mitandao yanaweza kumharibia huyu kijana kwakuwa mnaelekeza vita yenu kwa CDM kitu ambacho si lengo, mkibadilika mambo yatakua mazuri, yeye na ninyi mbadilike,badala ya kufukuza mwizi unafukuza aliyeibiwa isingewezekana .Kwa hiyo leo nasema OK tupo pamoja
Sawa sawa kabisa, hata mimi najiuliza kwa nini! Kwa nini Zitto akihutubia watu wengi wanajitokeza. Zitto, a one man army! Zitto, a supreme leader! Kwa nini Zitto watu wanamsikiliza kwa makini kiasi hicho? Ritz anajiuliza, Mag3 anajiuliza na kwa maneno ya Ritz wako wengi wanaojiuliza, why? Why Zitto!
Why him and not anybody else? Kwa mara ya kwanza Tanzania imebahatika kumpata kiongozi wa pekee, kiongozi asiye mfano na kiongozi Mkuu (Supreme). Kwa nusu karne tulisubiri kwa matumaini kwamba ipo siku lazima atapatikana kumbe muda wote yupo miongoni mwetu bila kumtambua!
Katika muda mfupi sauti yake imeweza kusikika kote nchini toka Mashariki hadi Magharbi, toka Kaskazini hadi Kusini akieneza habari njema. Mamia kwa maelfu ya watu wamejitokeza akihutubia na kumsikiliza kwa umakini na utulivu ambao haujawahi kushuhudiwa hadi Ritz anauliza kwa nini, why?
labda kama atapata watu wengine waenye majina kama alivyo yeye, tumain pekee alilonalo ni
huko kwao kigoma kwamba yeye binafsi anaweza kurudi bungeni
Nitake radhi kutoyajua mazingira ya siasa za Tanzania, na fahamu siasa za Tanzania zinafanana sana na nchi zingine za Afrika ukiondoa tofauti ndogo ndogo, huwezi kuiweka Tanzania kama kisiwa ukasema mifano nje ya Tanzania haihusiki, haipo hivyo.
Otherwise natambua hofu yako na ni hofu ya kweli kwa sababu Tanzania bado haijafika level hiyo ya kuiondoa CCM madarakani atleast kwa mwaka huu labda CCM wameguka mwezi ujao.
Sawa sawa kabisa, hata mimi najiuliza kwa nini! Kwa nini Zitto akihutubia watu wengi wanajitokeza. Zitto, a one man army! Zitto, a supreme leader! Kwa nini Zitto watu wanamsikiliza kwa makini kiasi hicho? Ritz anajiuliza, Mag3 anajiuliza na kwa maneno ya Ritz wako wengi wanaojiuliza, why? Why Zitto!
Why him and not anybody else? Kwa mara ya kwanza Tanzania imebahatika kumpata kiongozi wa pekee, kiongozi asiye mfano na kiongozi Mkuu (Supreme). Kwa nusu karne tulisubiri kwa matumaini kwamba ipo siku lazima atapatikana kumbe muda wote yupo miongoni mwetu bila kumtambua!
Katika muda mfupi sauti yake imeweza kusikika kote nchini toka Mashariki hadi Magharbi, toka Kaskazini hadi Kusini akieneza habari njema. Mamia kwa maelfu ya watu wamejitokeza akihutubia na kumsikiliza kwa umakini na utulivu ambao haujawahi kushuhudiwa hadi Ritz anauliza kwa nini, why?
ni upuuzi kulinganisha chama kilichoanza tangu 1992 na chama kisichozidi umri hata wa miaka miwili
Imewekwa nyimbo inayomsifia kwa kupambana wkt wa opereshen tokomeza na escrow
Mcubic njoo ndugu yangu watu wanaingia kwa uchache huku. natarajia picha itapigwa kwenye kachochoro kenye majengo na watu wapo chobingo hammudu viwanja
Bado zzk hajafika wala afande selle
Act wazalendo..
Zitto ni ACT na ACT ni Zitto So miaka ya Zitto ndio miaka ya ACT
Ndio zzk anaingia msafara wake umeanza na bodaboda kama 30 hv na magari mawili aina ya land cruiser
Moja yupo zzk ingine afande selle
Kwa chama kidogo kama ACT naanza kupata wasiwasi ni nini chanzo cha mapato mpaka wamudu kufanya ziara nyingi kiasi hiki!!!
Picha tafadhali.
Zomea inadharirisha bavicha kuwa hawajiamini.
Hakuna zomea yyt iliyotokea...
Ila hakuna maana kinachoendelea watu wana msubiri kiongozi mh zzk
Watanzania wanaopenda democrasia wamsapot zzk na act maana hata magari yao yamechoka vyombo vya mziki navyo vinasuasua
Watanzania wanaopenda democrasia wamsapot zzk na act maana hata magari yao yamechoka vyombo vya mziki navyo vinasuasua
Mama ansema wataboresha sekta ya afya na elimu
MAMA TERRY anasema act italeta amani na usawa....anasema ni chama cha wanyonge tikichahue ili watatue matatizo