Updates: Mkutano wa Lema na Kafulila Kahama

Updates: Mkutano wa Lema na Kafulila Kahama

utakufa wewe unayeishi kwa kutegemea kulamba miguu yake ili mkono uende kinywani. godless lema has zero effect kwango. pole.

:becky: Hapo tu ulipo naiona pressure yako iko juu.
GodBless Lema atakuua. Punguza hate. Huyo ni mbunge wako
:becky:
 
:becky: Hapo tu ulipo naiona pressure yako iko juu.
GodBless Lema atakuua. Punguza hate. Huyo ni mbunge wako
:becky:
mkuu kaa la moto lema hawezi kuwa mbunge wangu maisha. labda kinyume chake. siwezi ongozwa na zero brain kama yule. sina chuki naye ila jamaa ni full zero. sorry kwa hilo.
(labda tu nikupe tafakari; miaka 5 aliyokaa bale bungeni amechangia nini? kuhamasisha fujo? au?)
 
mkuu kaa la moto lema hawezi kuwa mbunge wangu maisha. labda kinyume chake. siwezi ongozwa na zero brain kama yule. sina chuki naye ila jamaa ni full zero. sorry kwa hilo.
(labda tu nikupe tafakari; miaka 5 aliyokaa bale bungeni amechangia nini? kuhamasisha fujo? au?)


:becky:Kama hajachangia kitu tuwekee hapa michango yake yote tuchambue:becky:Kwenye uongozi kuna vipaji tofauti. Kuna vipaji vinaongoza kwa fujo kiasi cha kupewa majina kama Tyson na kuna wanaoongoza kwa upole na kucheka cheka kiasi kwamba haki zao zinaminywa! ndio uongozi huo! Kila mmoja ana kIPAJI chake katika uongozi. Bush alikuwa kiongozi wa fujo na Obama lainiiiiiii, lakini wote viongozi. Huwezi muondoa Lema Arusha hata uje na tinga tinga!:becky::boxing:
 
binafsi godless lema nimemweka kwenye kundi la wale wanaotakiwa kwenda mirembe. inahuzunisha kodi yangu inalipa mtu wa aina hii. yaani hicho ndo alichowakusanyia watu kutukana watu wengine? pyuu!

Tunaomba uthibitisho wa hii habari . Tutaaminije kama ni kweli lema katamka hayo maneno
 
Back
Top Bottom