lema anasema "kikwete hii nchi si ya babako wala ya mamako nchi ya watanzania wote nitaendelea kuongoza arusha kwa kura,kwa kuomba,kiparoko,hata KIBABE " lema anasema rais anapasuliwa busha ? muda huu lema anaigiza sauti za rais kikwete akihutubia alipotoka marekani kutibiwa ,anaendelea kwa kusema bullshit ccm,pia kamanda LEMA anasema akipata wanaume wenzake 1000 wenye roho kama yake basi mwezi october ni mbali sana . KAFULILA ANASEMA "ngoma ya escrow bado mbichi sana watanzania wasubiri ngoma ianze upya"
Kweli kahama wameikata ukawa
kende katika kabila letu inamaanisha tezi dume! naomba ubadilishe jina hilo!:msela:mitusi kwa chadema ni kawaida
binafsi godless lema nimemweka kwenye kundi la wale wanaotakiwa kwenda mirembe. inahuzunisha kodi yangu inalipa mtu wa aina hii. yaani hicho ndo alichowakusanyia watu kutukana watu wengine? pyuu!
Lema katika ubora wake, wa matusi, sasa matusi yanasaidia nini zaidi ya kukosesha heshima?? ajabu sana hii..
Nyie watu wa Magamba,mimi ninawashangaa sana! Je mnataka kusema kuwa hii Nchi ni ya baba au mama yake huyu mshkaji wa Bagamoyo? huo ni upunguwani!
Picture za updates za huo mkutano Mod tusaidie kuzipandisha juu kwenye Threadlema anasema "kikwete hii nchi si ya babako wala ya mamako nchi ya watanzania wote nitaendelea kuongoza arusha kwa kura,kwa kuomba,kiparoko,hata KIBABE " lema anasema rais anapasuliwa busha ? muda huu lema anaigiza sauti za rais kikwete akihutubia alipotoka marekani kutibiwa ,anaendelea kwa kusema bullshit ccm,pia kamanda LEMA anasema akipata wanaume wenzake 1000 wenye roho kama yake basi mwezi october ni mbali sana . KAFULILA ANASEMA "ngoma ya escrow bado mbichi sana watanzania wasubiri ngoma ianze upya"
na kibajaji yupo group moja na huyo jamaa yako. wako wengi tu kama akina sugu, asumpta nk. just to mention few.Mpeleke kwanza kibajaji
piga kotekote hayo mafisadi ya c.c.em!
Nyie watu wa Magamba,mimi ninawashangaa sana! Je mnataka kusema kuwa hii Nchi ni ya baba au mama yake huyu mshkaji wa Bagamoyo? huo ni upunguwani!