Yule mwanamke aliyetimkia chadema kwa jina anaitwa esther Bulaya jana alikutana na hasira za wanachadema wa wilaya ya bunda baada ya kumpiga bao za kutosha kwenye mechi iliyomalizika jana usiku.
Bulaya aliambulia kura 37 tu wakati waliomtangulia wakikusanya kura 61 kwa msindi wa kwanza na 40 kwa mshindi wa pili.
Hili ni fundisho kwa wenye vihelehele kama bulaya kwa kudhani kwamba anapendwa sana chadema kumbe anayempenda ni halima mdee peke yake wala siyo chadema wote.
Tumpe pole kijana mwenzetu siasa ndiyo ilivyo inaweza kukudanganya ukadhani uko vizuri kumbe wa kawaida sana pole bulaya bao mbili bila ni nyingi sijui mdee na uongo wa chadema taifa watakusaidia vipi pengine wakutolee dirishani japo sijui kama wanabunda watakubali uminga huo.
Wacha utapeli Bulaya kashinda viti maalumu Bunda.intarahamwe wewe.Yule mwanamke aliyetimkia chadema kwa jina anaitwa esther Bulaya jana alikutana na hasira za wanachadema wa wilaya ya bunda baada ya kumpiga bao za kutosha kwenye mechi iliyomalizika jana usiku.
Bulaya aliambulia kura 37 tu wakati waliomtangulia wakikusanya kura 61 kwa msindi wa kwanza na 40 kwa mshindi wa pili.
Hili ni fundisho kwa wenye vihelehele kama bulaya kwa kudhani kwamba anapendwa sana chadema kumbe anayempenda ni halima mdee peke yake wala siyo chadema wote.
Tumpe pole kijana mwenzetu siasa ndiyo ilivyo inaweza kukudanganya ukadhani uko vizuri kumbe wa kawaida sana pole bulaya bao mbili bila ni nyingi sijui mdee na uongo wa chadema taifa watakusaidia vipi pengine wakutolee dirishani japo sijui kama wanabunda watakubali uminga huo.
Yule mwanamke aliyetimkia chadema kwa jina anaitwa esther Bulaya jana alikutana na hasira za wanachadema wa wilaya ya bunda baada ya kumpiga bao za kutosha kwenye mechi iliyomalizika jana usiku.
Bulaya aliambulia kura 37 tu wakati waliomtangulia wakikusanya kura 61 kwa msindi wa kwanza na 40 kwa mshindi wa pili.
Hili ni fundisho kwa wenye vihelehele kama bulaya kwa kudhani kwamba anapendwa sana chadema kumbe anayempenda ni halima mdee peke yake wala siyo chadema wote.
Tumpe pole kijana mwenzetu siasa ndiyo ilivyo inaweza kukudanganya ukadhani uko vizuri kumbe wa kawaida sana pole bulaya bao mbili bila ni nyingi sijui mdee na uongo wa chadema taifa watakusaidia vipi pengine wakutolee dirishani japo sijui kama wanabunda watakubali uminga huo.
Wadau, hii ni dhahiri sasa kuwa wana CHADEMA wameanza kuzinduka usingizini baada ya kudungwa sindano ya usingizi na Freeman Mbowe alipoamua kumchukua Lowasa baada ya kushikishwa kitita cha Bilioni 10.
Yule mwanamke aliyetimkia chadema kwa jina anaitwa esther Bulaya jana alikutana na hasira za wanachadema wa wilaya ya bunda baada ya kumpiga bao za kutosha kwenye mechi iliyomalizika jana usiku.
Bulaya aliambulia kura 37 tu wakati waliomtangulia wakikusanya kura 61 kwa msindi wa kwanza na 40 kwa mshindi wa pili.
Hili ni fundisho kwa wenye vihelehele kama bulaya kwa kudhani kwamba anapendwa sana chadema kumbe anayempenda ni halima mdee peke yake wala siyo chadema wote.
Tumpe pole kijana mwenzetu siasa ndiyo ilivyo inaweza kukudanganya ukadhani uko vizuri kumbe wa kawaida sana pole bulaya bao mbili bila ni nyingi sijui mdee na uongo wa chadema taifa watakusaidia vipi pengine wakutolee dirishani japo sijui kama wanabunda watakubali uminga huo.