Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Nini tatizo ktk hili? Shule au nini ?
Kwanini watu hawaelewi lugha sahihi?
Tatizo la mfumo wa elimu yetu, wale wanaopata division 4 na three za mwisho ndiyo wanapelekwa kusoma ualimu, unategemea mwalimu wa aina hii atatoa wanafunzi aina gani. Mbona universities wale wanaofanya vizuri ndiyo wanabaki kufundisha? Walimu walioko mashuleni kwa sasa, hasa shule za msingi ni shida kweli.