Which God? The real God? With capital G?
Duh!..asee mbona hesabu zinanitesa hapa?
Naomba makamanda wa kibamba humu ndani gongeni like hapa kwangu tujuane .
Wewe dogo usituletee utoto wa facebook humu.
Ni udhaifu mkubwa kuchangia kama hujapenda mawazo ya mwenzako, ungekaa kimya ukeheshimika pia.
Sihitaji heshima za kijinga.
BREAKING NEWS
John Mnyika ASHINDA KURA ZA MAONI KWA KUPATA JUMLA YA KURA 63 KATI YA KURA 81 SAWA NA ASILIMIA 76 wagombea walikuwa 8.
JIMBO JIPYA LA KIBAMBA MUDA HUU SAA 23:52
JOSEPH MSHINGA
Du! Hilo jimbo sindiko wachaga wamejazana? Imekuwaje wapiga kura jimbo zima wawe 81? Hii hali siamini kama itakuwa na afya sana.BREAKING NEWS
John Mnyika ASHINDA KURA ZA MAONI KWA KUPATA JUMLA YA KURA 63 KATI YA KURA 81 SAWA NA ASILIMIA 76 wagombea walikuwa 8.
JIMBO JIPYA LA KIBAMBA MUDA HUU SAA 23:52
JOSEPH MSHINGA
Du! Hilo jimbo sindiko wachaga wamejazana? Imekuwaje wapiga kura jimbo zima wawe 81? Hii hali siamini kama itakuwa na afya sana.
Tayari naliona Anguko la Mnyika.
Ndio maana aligoma kwenda jimbo jipya na kumtaka kubenea ndio aende kule. It seems alilazimishwa.Mnyika pole
Du! Hilo jimbo sindiko wachaga wamejazana? Imekuwaje wapiga kura jimbo zima wawe 81? Hii hali siamini kama itakuwa na afya sana.
Tayari naliona Anguko la Mnyika.
Ndio maana aligoma kwenda jimbo jipya na kumtaka kubenea ndio aende kule. It seems alilazimishwa.Mnyika pole