updater
Senior Member
- Jan 28, 2013
- 125
- 37
Yule kijana mtoto wa mchungaji Mwizarubi aliyekua anagombea kupitishwa kua mgombea wa ubunge kwa tiketi ya ccm mjini Arusha ametupwa mbali kwenye kura na kuishia kujiaribia reputation yake na kanisa la baba yake. Kapata kura 2,1,45, na 9 kwenye baadhi ya kata. Hii ni aibu sana. Huyu jamaa yani kajiibisha sana.