Mmaka Sengahu
JF-Expert Member
- Jan 1, 2015
- 252
- 86
Nachelea kusema UKAWA wanachukua mkoa mzima.....hahahahaaaaa
Tibaijuka na Assumpta imekula kwao
mwambieni tibaijuka asijisumbue coz akipita kura za maon ukawa tutamiliki jimbo saa asubuh, eti na issa samma anagombea jimbo la ngara vs gashaza, yetu macho but be care record inaelekea kuvunjwa kwa mara ya kwanza ngara kuongozwa na upinzani
Kura siku hizi zinahesabiwa asubuhi?
Atapita huyo, wasiopita wale ambao hawatakuwa na pesa ya kutoa rushwa. Moja ya sifa ya ccm ni lazima uwe na mkono mrefu