phocas adrian
Member
- Mar 18, 2015
- 76
- 35
Ccm kazi mnayo! Pingamizi hizo mtakazowekewa mtakoma
kila kituo kina projection ya wapiga kura,wakikamilika wanaweza hesabu lakini kanuni za chama hicho kuhesabu ni kuanzia saa 10 jioni
Chadema usingizi hampati, bavicha be patient
Hivi Obama huwa anakuja jimboni kweli maana ana baa yake Kawe Bondeni kila siku lazma nimkute pale.Manyovu kwa Obama, nitawajuza
Tena kule kwake Mkuranga yote ipo kwa UKAWA... Mwaka huu yeye ndo mpinzaniMalima akiangukia pua tutashukuru kwani amekukwa bigwa.wa kutetea maovu pale mjengoni na kuwabeza wapinzani.
Vipi Mama Spika
jimbo la kibakwe simbachawene anagawa fedha kama njugu Jana hapa kwenye kitongoji cha msangambuya Kata ya mtera mnapanga foleni unapewa 10000/_ unaambiwa chagua simbachawene kwakweli mkoa wa Dodoma takukuru imelala kuliko mkoa wowote walikuwa wameuchuna tu naamini hata wao walipoozwa kwani simbachawene na mawakala wake wamegawa fedha mchana kweupe.binafsi nimepewa 10000 na kula simpi.