duuuh mkuu huyo dk anarudi leo... daah Kweli Mungu mkubwa... najaribu kufikiri kwa upana zaidi.. mizwengwe mipya inatakavyowekwa na usalama wake,,,,, mmmh Mungu aepushe mbali maana hii serikali ilidhamiria afe sasa amerudi tena\? ooh hatua za kumlinda kila sekunde zinatakia mara moja.. otherwise watamuua talatibu... daah MUNGU NI MWEMA...
Sisiemu inazidi kujipandikizia chuki tu kwa raia wake, anzia walimu, madaktari, viajana wanaomaliza chuo sasa takrtibani 150,000 kila mwaka hawana ajira, wakulima kama wa pamba hawana hamu coz ya bei... huduma za jamiii ni rushwa tupu, WAFANYAKAZI wananaumia kwa sera mbofu za SSRA...
Daaah Mungu wangu,,,, sijui 2015 itakuwaje?