Kimei ashindwa kutoa salam, ajawa na sauti yenye simanzi, machozi yamtoka.
Spika agoma kutoa salam, protokali haiguzingatiwa.
Manywele kama kawaida front desk, leo yuko beneti na makinda utadhani mkewe.
nilitaka kushangaa, huyo kimei ajifanye anasikitika sana leo wakati msiba unasiku tatu sasa, kumbe ni mipombe yake
Ni kweli usemayo, msiba ni wa jamii si chama peke yake,..pia nadhani uwepo mdogo wa uhudhuriaji wa watu ni kutokana na mambo hayo yote kufanyika mbali na nyumbani/jimboni kwake..,pia si vyema kulinganisha na msiba wa Maremu Regia,hawa walikuwa watu tofauti na hamasi tofauti za watu dhidi yaoMzee wa mikungu ya ndizi nadhani umeona hawa CHADEMA wanavyokosa ushirikiano? Kwanza tujuze kama wapo hapo na niakina nani maana wanaonekana kusahau juzi tu wenzao CCM walivyoshiriki kikamilifu katika msiba wa REGIA MTEMA.
RIP Jeremiah Sumari.
Edo aka mamvi naona habanduki kwenye jeneza, aisee urais ni noma. Malasula anatuaga, kutoka hapa kkkt msasani, nawaaga kwaherini.
Pangu Pakavu
Mzee wa mikungu ya ndizi nadhani umeona hawa CHADEMA wanavyokosa ushirikiano? Kwanza tujuze kama wapo hapo na niakina nani maana wanaonekana kusahau juzi tu wenzao CCM walivyoshiriki kikamilifu katika msiba wa REGIA MTEMA.
RIP Jeremiah Sumari.
Huku hakuna cha Chadema wala TLP naona suti za wazee tu ndio zilitawala. Hakuna gwanda hata moja.
Yaani uko msibani huku unatoa salamu za dhihaka,unajua ni watu wangapi wanasoma hapa?
Mbona watu mnakosa busara kiasi hicho hivi nani atapenda ajiunge na watu mliokosa utu kiasi hicho?
Yaani uko msibani huku unatoa salamu za dhihaka,unajua ni watu wangapi wanasoma hapa?
Mbona watu mnakosa busara kiasi hicho hivi nani atapenda ajiunge na watu mliokosa utu kiasi hicho?
Halafu 2015 mnataka kura watu wenyewe hamna utu kiasi hicho.
Mbatia amewasili tayari. Pia Mhe Halima Mdee, mkuu wa mkoa wa Dsm. Mawaziri - Maige, Ngeleja wamefika.
Mhe Mbowe na Mhe Lema wameingia