Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Kimei ashindwa kutoa salam, ajawa na sauti yenye simanzi, machozi yamtoka.
Spika agoma kutoa salam, protokali haiguzingatiwa.
Manywele kama kawaida front desk, leo yuko beneti na makinda utadhani mkewe.
Mkuu mbona unaripoti huku unaweka mambo ya mipasho tena!