Asante sana mkuu, ila umeniacha hapo kwa manywele ndiyo nani huyo? Harafu Karimjee ni saa ngapi? Nahitaji kwenda ila sijajua muda.
Jamani acheni ngonjera kwenye msiba! kwanini hivo?Kimei ashindwa kutoa salam, ajawa na sauti yenye simanzi, machozi yamtoka.
Spika agoma kutoa salam, protokali haiguzingatiwa.
Manywele kama kawaida front desk, leo yuko beneti na makinda utadhani mkewe.
Idadi ya waumini waliojitokeza sio wengi kama ilivyodhaniwa, wengi ni wazee tu vijana wachache mno. Kanisa lina kama watu 500 hivi wengi wakiwa ni ndugu tu. Mh Sumari alishawahi kumwambia Dr Slaa akae kimya kama hana hoja zaidi ya ile ya ufisadi wa EPA. Nadhani hilo limesababisha watu kumuona Sumari kama fisadi wa saizi ya kati.
Pangu Pakavu.
Kumezuka jingine, mchungaji ameita kwaya waje kuimba wimbo alioupenda sana, sijui ni lini walimhoji hilo maana hata ndombolo alikuwa anazipenda sana. Namuona kwa mbali CAG Ludovick Utouh, pia naona Dk Kimei kapata ahueni sasa, kachangamka kidogo, nadhani jinsi muda unavyoenda ndio hangover inaishaisha, maana jamaa chapombe sana.
Ni kanisa gani mkuu mbona sisikii hata matarumbeta? wanazikia dsm nini?Kumezuka jingine, mchungaji ameita kwaya waje kuimba wimbo alioupenda sana, sijui ni lini walimhoji hilo maana hata ndombolo alikuwa anazipenda sana. Namuona kwa mbali CAG Ludovick Utouh, pia naona Dk Kimei kapata ahueni sasa, kachangamka kidogo, nadhani jinsi muda unavyoenda ndio hangover inaishaisha, maana jamaa chapombe sana.
Kwenye red, inawezekana wakati anamwambia hivyo Dr.Slaa, alishaanza kuathirika ubongo. maana hiyo kauli si utamaduni wa Sumari
Sijui Nancy anafeel vipi na msiba huu.
Asante kwa update!.
Nakuomba please be fair kwenye update don't add insult to un injury!. Tumefiwa usituongezee machungu!
mimi siendi sitaki kuongeza idadi ya waombolezaji, maana sina chochote kinachonigusa na msiba huu
Umenimaliza, nlitaka nikaongeze idadi,ndugu yangu yule atiNi hapa msasani KKKT ndugu yangu, sasa baada ya kuimba sana tunatoka nje hivyoo...