Updates gani ikiongezwa whatsapp utaridhika?

Updates gani ikiongezwa whatsapp utaridhika?

Mbona nakuwa najarb alafu inashindikan
Update application yako mkuu na unayemtumia documents lazima awe na new version. Hata kwenye group ikitokea hata mtu mmoja tu kwenye group ana version ya zamani huwezi kutuma document.
 
Waweke video call, tuwe tunaongea huku tunaonana mwanzo mwisho.

kuwe na security hivyo mtu aki screenshot ujue, au isiwezekane kabisa.
waweke option ya kuLIKE

mwisho kabisa waongeze emoji, matukio mengine kuyaandika aibu [emoji85] [emoji85] hivyo emoji ziwepo kutusaidia
 
Chats zote z dem wng zije ktk cm yng
 
Update application yako mkuu na unayemtumia documents lazima awe na new version. Hata kwenye group ikitokea hata mtu mmoja tu kwenye group ana version ya zamani huwezi kutuma document.
Asant bby
 
Kuwe na uwezo wa kujua visitors.Yani Nan na nani wamesoma status yako na nani ameangalia picha yako.
 
Sema ukweli ningepanda tu uweze kutumia account yako kwenye simu tofauti mfano simu yako main ikiisha charge anaweza endelea kwenye simu yako ya pili. Sio kwamba ukitumia kwenye simu hii kwenye simu ile inafutika
 
Kuignore msg za groups au kuexit bila notification
 
MTU akiview profile yako ikunotify, video call, na uwezo wa kutuma more file ie. Zip or rar, movie, apk.etc
 
Waongezee kwamba kila mtu kwenye group awe admin automatically
 
Kuchagua watu wakuona status na dp,,,niweze kuchagua namba zipi za kuweza kuona na zipi zisione.
 
Kuchagua watu wakuona status na dp,,,niweze kuchagua namba zipi za kuweza kuona na zipi zisione.
Kwel watu wanamaoni mengi xana ikibidi tutengeneze ya kibongo sana..
 
  • Thanks
Reactions: etb
Back
Top Bottom