Update ya Visat 1 (TV 1)

Update ya Visat 1 (TV 1)

Totoz

Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
99
Reaction score
18
Niliitwa kwenye interview sikuhojiwa wakasema watatitafuta, vipi wenzangu mmeitwa? na hata ile ya pili niliumba sikuitwa.

Tujuzane jamani.
 
Andika vizuri basi ndugu yangu.

nahitaji kujua kama kunamtu amesha anza kazi tv 1 baada ya interview ya mwezi wa 11 mwaka jna. Maana niliitwa kwenye interview nikaambiwa nafasi zimejaa. Wakatoa tangazo tena nika appy je kuna mtu yoyote ameitwa na kuanza kazi?
 
nahitaji kujua kama kunamtu amesha anza kazi tv 1 baada ya interview ya mwezi wa 11 mwaka jna. Maana niliitwa kwenye interview nikaambiwa nafasi zimejaa. Wakatoa tangazo tena nika appy je kuna mtu yoyote ameitwa na kuanza kazi?

nafasi zilishajaa huoni mume wake dida kashapata kazi huko
 
niliitwa kwenye interview sikojiwa wakasema watatitafuta vp wenzangu mmeitwa na hata ile ya pili niliuma sikuitwa tujuzane jaman

We si bure hujaitwa tena. Itakua waliona uwezo wako kuwa ni mdogo mno. Yani kuandika tu ni issue kazi ungeweza kweli! Tafuta iisue ingine ufanye wala hauwezi itwa tena.
 
Yaonekana Hata Wkt. Umeenda Ktk. Kufanyiwa Huo Usaili, Tayari Walishagundua Tatizo Lako! Kama Una Shida Ya Uandikaji Kiasi Hicho!! Basi Nadhani Hata Kuzungumza Tu Tatizo!! Ndio Maana Wameishia Kukutazama Tu!! Ilitosha Kumaliza Kazi!! Hiyo Fani Ni Ya Uhandishi Na Utangazaji!! Sasa Kama Hauko Vizuri Kiuandishi! Utafanyaje Hiyo Kazi?? Pole Sanaa Mdau! Badili Fani Mzazi!!!
 
We si bure hujaitwa tena. Itakua waliona uwezo wako kuwa ni mdogo mno. Yani kuandika tu ni issue kazi ungeweza kweli! Tafuta iisue ingine ufanye wala hauwezi itwa tena.

watu wa jf wanajua kukatisha wenzao tamaaa hahahaha hapa hamuwezi kabisaa
 
Hahahaaa I love jf

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mtoa mada kashachanganyikiwa coz ni mwaka wa 10 sasa anahangaika na kazi, ameshaitwa mara kadhaa lakini wapi?? Mwoneeni huruma mwenzenu.
 
We uliona alichoandika kabla hakijarekebishwa? Hatumkatishi tamaa, tuliwambia ukweli

hata kama nimekosea huwezi kushindana na android kwenye kuandika. Ulipashwa kunierekebisha kiustaarabu sio kukashifu. Hivi ndo maana wenzetu wanachukua ajira na sie tunabaki kuwa vijakazi kama muhudum na mfanya usafi.
 
hata kama nimekosea huwezi kushindana na android kwenye kuandika. Ulipashwa kunierekebisha kiustaarabu sio kukashifu. Hivi ndo maana wenzetu wanachukua ajira na sie tunabaki kuwa vijakazi kama muhudum na mfanya usafi.

Hayo yote hayana uhusino na kuwasilisha mawazo yako. Kwa sababu tunachozungumzia hapa si typing error ni jinsi ulivyo-present mawazo ndo penye tatizo. Hauna mkato, herufi kubwa wala alama zozote za uandishi. Alafu unataka kujifanya Android, hii inauhusiano gani? Eti situngekukosoa, kwani hapo tumefanyaje? Badilika,
 
Niliitwa kwenye interview sikuhojiwa wakasema watatitafuta, vipi wenzangu mmeitwa? na hata ile ya pili niliumba sikuitwa.

Tujuzane jamani.

Kwanza kuandika hujui, jifunze kuandika ndo uombe kazi. Kwa styl hiyo huwez itwa maisha
 
Back
Top Bottom