Wana JF,
Nilipata habari ya maendeleo ya afya ya Dr Ulimboka kupitia gazeti la mwanahalisi toleo la mwisho la wiki iliyopita (kabla halijafungiwa) kuwa anaendela vizuri na yuko karibu kurejea nyumbani kuja kuanika kila kitu kuhusiana na uovu aliotendewa na serikali ya kikwete.
Kwakuwa serikali ya JK ''imetufunga plasta midomoni'' kwa kufungia chanzo chetu cha kuaminika cha habari za uchunguzi, naomba mwenye update ya afya ya ulimboka atujuze.
Naomba kuwasilisha.
Nilipata habari ya maendeleo ya afya ya Dr Ulimboka kupitia gazeti la mwanahalisi toleo la mwisho la wiki iliyopita (kabla halijafungiwa) kuwa anaendela vizuri na yuko karibu kurejea nyumbani kuja kuanika kila kitu kuhusiana na uovu aliotendewa na serikali ya kikwete.
Kwakuwa serikali ya JK ''imetufunga plasta midomoni'' kwa kufungia chanzo chetu cha kuaminika cha habari za uchunguzi, naomba mwenye update ya afya ya ulimboka atujuze.
Naomba kuwasilisha.