UPDATE Maandalizi ya maziko ya Kardinali Rugambwa kesho

Kwani Papa John wa pili alizikwa wapi au kivipi - maana naona maswali haya hayako straight forward kwani tatizo liko wapi?

Alizikwa ndani ya Kanisa la Kipapa ambalo huitwa Basilica. In short Basilica ndilo kanisa rasmi (namaanisha jengo, sio imani) ambapo katika hali ya kawaida (kama hayuko safarini, n.k.) Papa huongoza ibada nalo sio jingine ni St. Peter's Basilica huko nchini Vatican.

Askofu yeye huzikwa katika kanisa (jengo) rasmi la kiaskofu ambapo ndipo askofu husika katika jimbo lake katika hali ya kawaida huongoza ibada za kila siku. Kanisa la kiaskofu hujulikana kama Cathedral na kwa kuwa Kaishozi haikuwa Cathedral ndio maana "alihifadhiwa" pale kwa muda akisubiri Cathedral ikamilike. Katika kila jimbo kunakuwa na Cathedral moja tu na si vinginevyo.

Huo ndio ukatoliki ambao wengine, kama ilivyo kwa imani zingine, wanapata shida kuuelewa kwani ni suala la kiimani zaidi na imani za watu ziheshimiwe.
Hivi leo ukiulizwa inakuwaje wengine kwenye imani zao wakifa wanapaswa kukamuliwa kinyesi ndani kwao na uchafu kuchimbiwa humo humo ndani inaweza kuelezeka katika hali ya kawaida? Hayo ni mambo ya imani na kila mmoja ana hiari kuamini akitakacho!

Lakini je, hivi Yusufu mwana wa Yakobo (Israel) akiwa mtawala huko Misri hakuomba akifa mabaki yake yahamishiwe katika nchi ya ahadi (Kanaani) na ikafanyika hivyo miaka mingi baada ya kifo chake? Haya mambo yamekuwepo tangu mwanzo wa nyakati wala sio ajabu.
 
Alizikwa ndani ya Kanisa la Kipapa ambalo huitwa Basilica. In short Basilica ndilo kanisa rasmi (namaanisha jengo, sio imani) ambapo katika hali ya kawaida (kama hayuko safarini, n.k.) Papa huongoza ibada nalo sio jingine ni St. Peter's Basilica huko nchini Vatican.

Askofu yeye huzikwa katika kanisa (jengo) rasmi la kiaskofu ambapo ndipo askofu husika katika jimbo lake katika hali ya kawaida huongoza ibada za kila siku. Kanisa la kiaskofu hujulikana kama Cathedral na kwa kuwa Kaishozi haikuwa Cathedral ndio maana "alihifadhiwa" pale kwa muda akisubiri Cathedral ikamilike. Katika kila jimbo kunakuwa na Cathedral moja tu na si vinginevyo.

Huo ndio ukatoliki ambao wengine, kama ilivyo kwa imani zingine, wanapata shida kuuelewa kwani ni suala la kiimani zaidi na imani za watu ziheshimiwe.
Hivi leo ukiulizwa inakuwaje wengine kwenye imani zao wakifa wanapaswa kukamuliwa kinyesi ndani kwao na uchafu kuchimbiwa humo humo ndani inaweza kuelezeka katika hali ya kawaida? Hayo ni mambo ya imani na kila mmoja ana hiari kuamini akitakacho!

Lakini je, hivi Yusufu mwana wa Yakobo (Israel) akiwa mtawala huko Misri hakuomba akifa mabaki yake yahamishiwe katika nchi ya ahadi (Kanaani) na ikafanyika hivyo miaka mingi baada ya kifo chake? Haya mambo yamekuwepo tangu mwanzo wa nyakati wala sio ajabu.

.
Kila mtu kuwa na imani yake ni jambo moja. Lakini wana dini kuwa na imani ya Yesu Kristo ni jambo jingine tofauti kabisa. Kuheshimu imani za watu ni sawa lakini hata hivyo haiwi mahakama ya rufaa kumkinga shetani na hukumu ya Mungu. Maana kama Bwana Yesu angeziheshimu kwa namna tunavyochukulia, ugomvi wake na wakuu wa kidini na hata kumuua usingekuwepo. Ndio maana kwa walioweka imani yao katika biblia bila uchakachuzi wanasisitiziwa kuwa imani ni moja, Mungu mmoja, tumaini moja na ubatizo mmoja.
Hata hivyo kwa habari ya mababa wa taifa la Israel walikuwa na ahadi ya Mungu ya kufufuliwa katika ardhi yao. Na jambo hilo lilitimia wakatika Bwana Yesu alipokufa msalabani na Roho yake kuzihubiria nafsi zilizokuwa kifungoni zikingoja wakati wa Nuhu. Na makaburi ya watakatifu yalifunguka na miili yao kuinuka na kuwatokea wa kwao hapo Yerusalemu kabla ya kuondoka na Yesu baada ya kufufuka kwake. Sasa kwa leo tuna ahadi ya Mungu kufufuliwa ktk maeneo maalumu? Hapana!!
.
 
Alizikwa ndani ya Kanisa la Kipapa ambalo huitwa Basilica. In short Basilica ndilo kanisa rasmi (namaanisha jengo, sio imani) ambapo katika hali ya kawaida (kama hayuko safarini, n.k.) Papa huongoza ibada nalo sio jingine ni St. Peter's Basilica huko nchini Vatican.

Askofu yeye huzikwa katika kanisa (jengo) rasmi la kiaskofu ambapo ndipo askofu husika katika jimbo lake katika hali ya kawaida huongoza ibada za kila siku. Kanisa la kiaskofu hujulikana kama Cathedral na kwa kuwa Kaishozi haikuwa Cathedral ndio maana "alihifadhiwa" pale kwa muda akisubiri Cathedral ikamilike. Katika kila jimbo kunakuwa na Cathedral moja tu na si vinginevyo.

Huo ndio ukatoliki ambao wengine, kama ilivyo kwa imani zingine, wanapata shida kuuelewa kwani ni suala la kiimani zaidi na imani za watu ziheshimiwe.
Hivi leo ukiulizwa inakuwaje wengine kwenye imani zao wakifa wanapaswa kukamuliwa kinyesi ndani kwao na uchafu kuchimbiwa humo humo ndani inaweza kuelezeka katika hali ya kawaida? Hayo ni mambo ya imani na kila mmoja ana hiari kuamini akitakacho!

Lakini je, hivi Yusufu mwana wa Yakobo (Israel) akiwa mtawala huko Misri hakuomba akifa mabaki yake yahamishiwe katika nchi ya ahadi (Kanaani) na ikafanyika hivyo miaka mingi baada ya kifo chake? Haya mambo yamekuwepo tangu mwanzo wa nyakati wala sio ajabu.

Mkuu nakushukuru sana kwa ufafanuzi wako, nikiwa muwazi hapa ni kwamba mimi nilisoma shule ya MSINGI Kashozi i.e Kashozi Boys/Kitebe kama ilivyo kuwa inajulikana wakati huo - Dini yangu nilikuwa mkristo lakini wa madhhebu ya Kilutheli lakini Mwalimu mkuu alikuwa anatusihi kwenda kusali kila asubuhi kwenye Kanisa la Kashozi bila ya kujali madhebu yetu, binafsi niliona ni sawa TU.

Mimi niliuliza swali hilo makusudi baada ya kuona kuna mwelekeo wa baadhi ya wana JF kujaribu kukosoa au kuonyesha kana kwamba kitendo cha Kumzika Muhashamu Kardinadi Rugambwa kwenye mapumziko yake ya mwisho kuna walakini fulani VILE!!!
 
Back
Top Bottom