Hakuna watu wajinga na wasioamini na kutopenda wasomi katika kazi zao kama hawa Wachina Sunda na wale wenzao Monalisa/Border LTD. Hawataki kusikia kabisa watu wanaoitwa Graduates,na hii ni kutokana na hao Wachina wenyewe wametoka huko kwao hawajasoma na pia nafasi za wazawa zote zimeshikiliwa na STDs Seven na Div 5. So kama wewe ni Graduates uliomba kazi huko,utasubiri sana tena sana,ninachokushauri futa hayo mawazo kabisa ya kuitwa huko.