Upatu, DECI, Babu Loliondo na sasa Edward Lowassa!

Upatu, DECI, Babu Loliondo na sasa Edward Lowassa!

....wabongo bana..maneno meengi!!....woote hao awe magufuli ...awe lowassa wote sawa tu....hata kimaadili hawana tofauti...na kama ni shutma za ufisadi wote wanazo....na hakuna anachoweza kufanya magufuli atashindwa lowassa..wote ni wale wale tu....na historia zao kiutendaji zinaonyesha hivyo pia....

....kama ni maamuzi magumu wote wana historia hiyo...magufuli mnampamba na ujenzi wa mibarabara(japo haikai sana inajaa mashimo)....nae lowassa alishughulikia shule za kata ccm wanazotamba nazo leo...na pia alisitisha kampuni feki ya maji dar...na pia alishiriki kupeleka maji ya ziwa victoria kule shinyanga...

...hivyo nawashangaa sana wabongo kwa kejeli zao dhidi ya lowassa...maana kwangu mimi kwanini lowassa aonekane upatu na si magufuli???...kama ni upatu... kwangu hata magufuli anaweza kuwa upatu...kama ambavyo wabongo mlichezewa upatu wa maisha bora kwa kila mtanzania kwa miaka 10 iliyopita.....

....ccm acheni kejeli sikilizeni hoja....hili msipoangalia litawagharimu....namwona lowassa akipata point sana juu ya hili....maana yeye kimya...japo anajua maovu tele ya utawala wa ccm...kwangu mimi aliyebadiilika ni lowassa...kwa kuhama chama kinacholea mafisi na kuhamia kwenye matumaini ya mabadiliko...

Sorry TNKL. Nilikuwa na send hoja yangu kwa ndugu yetu nderingosha na siyo kwako. Mdee ndugu yetu ni hivi: mtu Anahama uzeeni ameshachoka hoi. Badala ya kulea wajukuu anaanzisha safari. Hivi kwa nini siyo ujanani? Kwani inahitaji ka miaka mingapi kugundua kuwa ulikuwa unaingiaga choo cha kike? Kama mamiaka yote hayo hakugundua basi kuna mawili tu: bongolala ama alikuwa anakula vitamu taratiiibu! Sasa kushtukia kwamba anaweza kutemeshwa ndiyo maana anatafuta kwa udi na uvumba jinsi ya kuvilinda. Umeelewa?
 
Rubbish...Residues...dust..chaff at el
Raia mwema at work!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo watu wake wana uwezo mdogo wa kufikiri(IQ).
Dah noma sana 😕
 
Hakika uzi huu umenidhihirizia Watz tulivyo na IQ ndogo. Mwandishi anaongelea Lowasa, Sumaye na Mbowe Kudanganya lakini anashindwa kutueleza viongozi wakuu wa nchi wanavyodanganya. Sasa ccm inamsakama Lowasa kuhusu Richmond wakati Kikwete, Mwenyekiti wa ccm, wakati wa uchaguzi wa 2010, Monduli alitwambia Lowasa ni mtu safi, Je hakutudanganya au hakutudanganya? Tuacheni WTZ tufanye mabadiliko ya kweli. Hata Magufuli leo akiachana na CCM aje Ukawa tutamuunga mkono. Lazima tubadilishe mfumo sio sura ya mtu na mawazo yaleyale.
 
Waliopiga kikombe cha babu hawajafa, hujamwona pombe akipiga pushup? Hali nayeye alipiga kikombe cha babu!
 
Lowasa, kipaumbe cha kwanza elimu cha2 elimu cha2 elimu.huta hamanchi mana safari mtasoma tu hata kwa mjeledi,hakuna kusingizia cha ada
 
Sorry TNKL. Nilikuwa na send hoja yangu kwa ndugu yetu nderingosha na siyo kwako. Mdee ndugu yetu ni hivi: mtu Anahama uzeeni ameshachoka hoi. Badala ya kulea wajukuu anaanzisha safari. Hivi kwa nini siyo ujanani? Kwani inahitaji ka miaka mingapi kugundua kuwa ulikuwa unaingiaga choo cha kike? Kama mamiaka yote hayo hakugundua basi kuna mawili tu: bongolala ama alikuwa anakula vitamu taratiiibu! Sasa kushtukia kwamba anaweza kutemeshwa ndiyo maana anatafuta kwa udi na uvumba jinsi ya kuvilinda. Umeelewa?
..anayetafta jinsi ya kuvilinda ni yeye aliyehama chama ama wao wanaong'ang'ania madarakani?...kama ana cha kulinda kwanini hajashtakiwa hadi leo ambapo wala hayuko kwenye hilo lichama chakavu??.....
...kwangu wanaotaka kulinda walivyopora kwa wananchi ni wanaotaka kubaki madarakani kwa namna yoyote....na lowassa amewaambia hana visasi..na wala hana tabia ya kufukua makaburi....hivyo jipangeni kuachia madaraka bila kuua raia..kama mlivyojipanga...
 
..anayetafta jinsi ya kuvilinda ni yeye aliyehama chama ama wao wanaong'ang'ania madarakani?...kama ana cha kulinda kwanini hajashtakiwa hadi leo ambapo wala hayuko kwenye hilo lichama chakavu??.....
...kwangu wanaotaka kulinda walivyopora kwa wananchi ni wanaotaka kubaki madarakani kwa namna yoyote....na lowassa amewaambia hana visasi..na wala hana tabia ya kufukua makaburi....hivyo jipangeni kuachia madaraka bila kuua raia..kama mlivyojipanga...

Nageuza swali ili uelewe unisaidie jibu : hivi mke akimuacha mume uzeeni ameshazaa mara kibao halafu akaanza kuaminisha watu kuwa alikuwa hampendi mwanaume huyo kabisaa hivi anawarudisha watoto tumboni au anaendelea kuwaaminisha watoto wake kwamba wanabahati kuzaliwa maana yeye alikuwa hampendi kabisa baba yao?
 
Ni kweli kuna baadhi ya watu ni wavivu sana kufikiri, na ukitaka kuhakikisha hilo nenda chadema. leo wanaamini kuwa shetani anaweza kuwa njia ya kufika kwa Mungu wakati siku za nyuma maandiko matakatifu ya misahafu yao iliwaambia wakae mbali na shetani.

Ama hakika ukistaajabu ya Mussa utayaona ya firauni
 
..kichekesho ni kwamba Dr.Magufuli alibugia kikombe cha babu wa loliondo.

..tena alinogewa mpaka akaahidi kujenga barabara ya kwenda kwa babu.

Ocampo four
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom