Upatu, DECI, Babu Loliondo na sasa Edward Lowassa!

Upatu, DECI, Babu Loliondo na sasa Edward Lowassa!

..kichekesho ni kwamba Dr.Magufuli alibugia kikombe cha babu wa loliondo.

..tena alinogewa mpaka akaahidi kujenga barabara ya kwenda kwa babu.
Ocampo four

Alikuwa anamjengea babu white ili kumrahisishia safari maana yeye angehitaji doze za kutwa mara 3
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom